Shy-Rose aanza kuwatembelea mabalozi wa EAC Tanzania!!

Shy-Rose aanza kuwatembelea mabalozi wa EAC Tanzania!!

- Ndio maana tunsema kuwapa nafasi Vijana ili wafanye mambo tofauti na yale tuliyoyazoea, ni muhimu sana kuwajua the players wa sekta utakayoiwakilisha taifa letu, huyu Balozi amewahi kuwa mbunge wa Kenya kwenye EAc, so ana a lot of experience na EAC na pia ndivyo modern politics zinavyotaka, uwajue the players wa yopur area ya uwakilishi.

- I hope na wabunge wengine wa EAc watajifunza, saafi sana Mheshimiwa Shyrose, anakuwa ni mfano wa kuigwa hapa! NA MUNGU AMBARIKIE NA KUMTANGULIA KWENYE SAFARI YAKE HUKO ARUSHA KWENYE EAC!

RESPECT!

William.

William, kama haya ndio maoni yako juu ya matembezi ya Shy-Rose basi nafurahi hukuchaguliwa kuwa EALA mbunge. Kwanza tuanze na Diplomatic protocol, Shy-Rose alienda pale na baraka za Foreign Affairs? Anafanya mazungumzo na balozi wa nchi nyingine kama nani?

Kila nchi mwanachama wa EAC ina interest zake, na kama wewe umefuatilia vizuri Tanzania inawindwa kwa udi na uvumba kutokana na rasilimali zake. Kabla Tanzania haijasema 'Yes', ni vizuri kama Taifa tukajaua/tukaamua ni wapi kunahitaji kuweka mambo sawa, wapi pa kulinda na wapi tufungue milango.

Mfano, huwezi kuwa legelege kwenye issue ya free movement of labour hivi hivi kwa sababu Tanzania tuna tatizo kubwa sana la ukosefu wa ajira. Pia huwezi kuachia ardhi wakati bado hatujaweka mambo sawa kwa watu wetu. Sasa, Shy-Rose ameenda kujifunza nini kwa balozi wa Kenya? Who is the right person to discuss with? Balozi wa Kenya?

Busara ya kawaida ingekuwambia sehemu nzuri ya kuaza kijifunza ilikuwa humu humu ndani, waziri Sitta, wabunge wa Tanzania hasa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge, Mawaziri au/na makatibu wakuu wa wizara ambazo ni strategic i.e Utalii na mali asili, Ardhi,Viwanda na Biashara, Home affairs, etc. Na kwa hakika ningeona anafanya la maana kama angekaa kitako na katibu mkuu wa wizara ya afrika Mashariki (kwa Tanzania).

Pia alitakiwa aende Zanzibar na kuonana na wakuu wa idara/wizara. Kwa kifupi Shy-Rose anatakiwa ajue msimamo wa Tanzania ni upi kwenye mambo yote muhimu. Na mtu wa kumuambia Tanzania inataka nini sio Balozi wa Kenya. Lakini kubwa zaidi nilitegemea Shy-Rose afanye 'tuition' akiwa na wenzake. Napata shida sana kuelewa analenga nini huyu binti kutoka kwa balozi wa Kenya. Balozi anamwakilisha Rais wa nchi, sasa yeye anataka nini toka kwa Kibaki? Na kama kuna kitu anataka toka kwa Kibaki protocol zinasemaje? Unless ameenda pale kama yeye lakini kwa level ya mbunge? sio sahihi.
 
Mutu,,,

Ndicho alichokwambia jana wakati mnakunywa chai Serena??

Unafahamu kwamba sisi tunacompete na hawa member wengine kwenye EAC??

Unaelewa nature ya competition yoyote ile??

Unaelewa tabia za wakenya??

Tulikushauri wakati unagombea ubunge EAC upite kule IF uone tabia za hawa watu, did you do that??

Nadhani kuna mengi sana ya kukufanya uwe smart kwenye career yako tofauti na kujipeleka kichwa kichwa kwa watu ambao unaenda kukutana nao kwenye floor!!

Nyie mnaotaka kuwa viongozi pigeni machimbuzi kwenye fani zenu husika si lazima kushinda unatafuta appointments na kuzurura kwenye maofisi ya washindani zetu na kujiexpose bila mpango!!

Acheni uvivu someni!!

- Siasa za uadui zimepitwa na wakati bro, wewe una-preach siasa za fear Kenya sio maadui wetu ni our patners in the union, especially sasa hivi tunapoelekea kwenye one currency na the Federation!

- Ni muhimu sana wabunge wote wa EAC wakaonana na mabalozi wote wa EAC, kabla ya kwenda kuanza rasmi kazi zao, maana watawahitaji sana kwenye kazi zao.

- HAYO MENGINEYO NAOMBA NIKUACHIE UBAKO NAYO, MAANA NI KELELE ZA MLANGO TUPU!


William.
 
- Inaitwa Courtesy Call kwenye uwanja wa Diplomasia, unless kuna kifungu cha Sheria ya Jamhuri amekivunja kwa nini usikiweke hapa tuache kuandikia mate!

- Wacheni kuwa kama Kitine, wivu wivu tu!


William.


Ninavyojuwa mimi viongozi wa nchi hii (walau kwa sasa) wanatakiwa kabla ya kufanya mazungumzo (official capaticity) na foreign diplomat basi watoe taarifa Foreign Affairs. Sina hakika lakini nadhani wabunge wa EALA nao wanatakiwa wafanye hivyo.
 
William, kama haya ndio maoni yako juu ya matembezi ya Shy-Rose basi nafurahi hukuchaguliwa kuwa EALA mbunge. Kwanza tuanze na Diplomatic protocol, Shy-Rose alienda pale na baraka za Foreign Affairs? Anafanya mazungumzo na balozi wa nchi nyingine kama nani?

Kila nchi mwanachama wa EAC ina interest zake, na kama wewe umefuatilia vizuri Tanzania inawindwa kwa udi na uvumba kutokana na rasilimali zake. Kabla Tanzania haijasema 'Yes', ni vizuri kama Taifa tukajaua/tukaamua ni wapi kunahitaji kuweka mambo sawa, wapi pa kulinda na wapi tufungue milango.

Mfano, huwezi kuwa legelege kwenye issue ya free movement of labour hivi hivi kwa sababu Tanzania tuna tatizo kubwa sana la ukosefu wa ajira. Pia huwezi kuachia ardhi wakati bado hatujaweka mambo sawa kwa watu wetu. Sasa, Shy-Rose ameenda kujifunza nini kwa balozi wa Kenya? Who is the right person to discuss with? Balozi wa Kenya?

Busara ya kawaida ingekuwambia sehemu nzuri ya kuaza kijifunza ilikuwa humu humu ndani, waziri Sitta, wabunge wa Tanzania hasa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge, Mawaziri au/na makatibu wakuu wa wizara ambazo ni strategic i.e Utalii na mali asili, Ardhi,Viwanda na Biashara, Home affairs, etc. Na kwa hakika ningeona anafanya la maana kama angekaa kitako na katibu mkuu wa wizara ya afrika Mashariki (kwa Tanzania).

Pia alitakiwa aende Zanzibar na kuonana na wakuu wa idara/wizara. Kwa kifupi Shy-Rose anatakiwa ajue msimamo wa Tanzania ni upi kwenye mambo yote muhimu. Na mtu wa kumuambia Tanzania inataka nini sio Balozi wa Kenya. Lakini kubwa zaidi nilitegemea Shy-Rose afanye 'tuition' akiwa na wenzake. Napata shida sana kuelewa analenga nini huyu binti kutoka kwa balozi wa Kenya. Balozi anamwakilisha Rais wa nchi, sasa yeye anataka nini toka kwa Kibaki? Na kama kuna kitu anataka toka kwa Kibaki protocol zinasemaje? Unless ameenda pale kama yeye lakini kwa level ya mbunge? sio sahihi.

- Yaaani hapo hapo nimeshindwa kuendelea maana hoja haianzi na kulia kulia kama mtoto mdogo as you did! ha! ha! ha!, kwenye siasa kushinda na kushindwa ni kawaida, kweli unataka tujadili wale waliowahi kushidwa kwenye siasa zetu, I mean wameshindwa wangapi? ha! ha! ha! ha!

- I mean unajaribu kuyapanga majungu na chuki kuwa hoja lakini unashindwa, Mbunge wetu wa EAC kwenda kutembelea mabalozi wa EAC kuna tatizo gani kisheria ya jamhuri yetu? lets cut the slacks hapa and get sraight to the point?

weka sheria iliyovunjwa hapa?

William.
 
Ninavyojuwa mimi viongozi wa nchi hii (walau kwa sasa) wanatakiwa kabla ya kufanya mazungumzo (official capaticity) na foreign diplomat basi watoe taarifa Foreign Affairs. Sina hakika lakini nadhani wabunge wa EALA nao wanatakiwa wafanye hivyo.

- Thank you Great Thinker!


William.
 
- Yaaani hapo hapo nimeshindwa kuendelea maana hoja haianzi na kulia kulia kama mtoto mdogo as you did! ha! ha! ha!, kwenye siasa kushinda na kushindwa ni kawaida, kweli unataka tujadili wale waliowahi kushidwa kwenye siasa zetu, I mean wameshindwa wangapi? ha! ha! ha! ha!

- I mean unajaribu kuyapanga majungu na chuki kuwa hoja lakini unashindwa, Mbunge wetu wa EAC kwenda kutembelea mabalozi wa EAC kuna tatizo gani kisheria ya jamhuri yetu? lets cut the slacks hapa and get sraight to the point?

weka sheria iliyovunjwa hapa?

William.


William, naamini nimetoa constructive criticism, na nimetaja ni wapi naamini mbunge Shy-Rose amekosea na nini anaweza kufanya ili kupata the best possible outcome on behalf of Tanzania. Labda nikuulize, ni nani anayejua Tanzania inataka nini Afrika Mashariki au ina msimamo gani kwenye mambo fulani huko EALA? Ni balozi wa Kenya?

Shy-Rose, kwa mfano anaelewa nini kuhusu Defence Protocol iliyosainiwa siku chache zilizopita? Anajuwa Tanzania wanataka kitu gani kiwe clarified kwenye hiyo Defence Protocol?
 
William, naamini nimetoa constructive criticism, na nimetaja ni wapi naamini mbunge Shy-Rose amekosea na nini anaweza kufanya ili kupata the best possible outcome on behalf of Tanzania. Labda nikuulize, ni nani anayejua Tanzania inataka nini Afrika Mashariki au ina msimamo gani kwenye mambo fulani huko EALA? Ni balozi wa Kenya?

Shy-Rose, kwa mfano anaelewa nini kuhusu Defence Protocol iliyosainiwa siku chache zilizopita? Anajuwa Tanzania wanataka kitu gani kiwe clarified kwenye hiyo Defence Protocol?

- Not really, umetoa chuki binafsi tu under mgongo wa Constructive Criticism, kwa sababu una lack FACTS za ku-back your claims, kwanza huna FACTS za WHY alienda huko, pili hujui alijadili nini na balozi, tatu hujui Sheria inasema nini kuhusu kwenda kwake!

- Then unaanza maswali ya kama Shyrose anajua mambo ya Defence, yamekujaje hayo tena si ungefungulia topic kwamba je Shyrose anajua ishus za Defence huko EAC, kuliko kuja kujichanganya kama unavyofanya mkuu;

I mean soma tena hoja zako na jipime mkuu!


William.
 
Huwa nachoka sana pale tunapojadili WATU badala ya JAMBO.

Bravo Shy-Rose
 
- Not really, umetoa chuki binafsi tu under mgongo wa Constructive Criticism, kwa sababu una lack FACTS za ku-back your claims, kwanza huna FACTS za WHY alienda huko, pili hujui alijadili nini na balozi, tatu hujui Sheria inasema nini kuhusu kwenda kwake!

- Then unaanza maswali ya kama Shyrose anajua mambo ya Defence, yamekujaje hayo tena si ungefungulia topic kwamba je Shyrose anajua ishus za Defence huko EAC, kuliko kuja kujichanganya kama unavyofanya mkuu;

I mean soma tena hoja zako na jipime mkuu!


William.

Sijui kwa nini unasema nina chuki na Shy-Rose? Na hata kwenye hoja yangu sijamuongelea yeye binafsi bali kama mbunge wa EALA. What makes you think that I'm attacking her personally?

Sina facts? - wewe mwenye facts ebu tuwekee hapa. Pili, tuambie alienda kuongea nini tuone merits ya hii single, na tatu, enlighten us kwenye sheria since you seems to suggest to be very conversant on that!
 
Mkuu W J Malecela kama wanaanza kupita pita bila ridhaa ya mamlaka husika mbona hii nchi itauzwa dakika chache zijazo!
 
Sijui kwa nini unasema nina chuki na Shy-Rose? Na hata kwenye hoja yangu sijamuongelea yeye binafsi bali kama mbunge wa EALA. What makes you think that I'm attacking her personally?

Sina facts? - wewe mwenye facts ebu tuwekee hapa. Pili, tuambie alienda kuongea nini tuone merits ya hii single, na tatu, enlighten us kwenye sheria since you seems to suggest to be very conversant on that!

- Tatizo ni kwamba huna FACTS, wala substance kwani unakubali mwenyewe kwamba hujui kwa nini alienda, hujui aliongea nini na wala hujui sheria inasema nini kuhusu kwenda kwake, sasa unataka mimi nitoe FACTS ambazo huna, kwa nini hukuuliza toka mwanzo FACTS kwanza?

- I mean drop it bro, aibu!

William.
 
- Not really, umetoa chuki binafsi tu under mgongo wa Constructive Criticism, kwa sababu una lack FACTS za ku-back your claims, kwanza huna FACTS za WHY alienda huko, pili hujui alijadili nini na balozi, tatu hujui Sheria inasema nini kuhusu kwenda kwake!

- Then unaanza maswali ya kama Shyrose anajua mambo ya Defence, yamekujaje hayo tena si ungefungulia topic kwamba je Shyrose anajua ishus za Defence huko EAC, kuliko kuja kujichanganya kama unavyofanya mkuu;

I mean soma tena hoja zako na jipime mkuu!


William.

Wewe this time rnd chochote utachoambiwa utadhani ni chuki binafsi, kama FJM hafahamu kilichojadiliwa huko kwa nini wewe 'kama' unafahamu usiseme ili kuacha na kuondoa fikra kwamba watu wanapohoji viongozi wao wanafanya nini na kama ni sahihi isionekane kama ni chuki binafsi!!

Ni kweli kabisa tunawachukia sana ninyi mnaojiita viongozi ilhali hamna hata karama za uongozi...

Mambo ya kujificha chini ya vimvuli vya sheria ili kutetea mambo ya hovyo ni upuuzi mtupu
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkuu W J Malecela kama wanaanza kupita pita bila ridhaa ya mamlaka husika mbona hii nchi itauzwa dakika chache zijazo!

- How sure are you kwamba hakukuwepo na Ridhaa, na kifungu gani cha sheria kinachotaka hiyo ridhaa mbona tunazunguka pale pale tu, tuwe Great Thinkers basi japo kidogo tu!, tuongee na FACTS!

William.
 
Wewe this time rnd chochote utachoambiwa utadhani ni chuki binafsi, kama FJM hafahamu kilichojadiliwa huko kwa nini wewe 'kama' unafahamu usiseme ili kuacha na kuondoa fikra kwamba watu wanapohoji viongozi wao wanafanya nini na kama ni sahihi isionekane kama ni chuki binafsi!!

Ni kweli kabisa tunawachukia sana ninyi mnaojiita viongozi ilhali hamna hata karama za uongozi...

Mambo ya kujificha chini ya vimvuli vya sheria ili kutetea mambo ya hovyo ni upuuzi mtupu


- Sasa unaaanzishaje mada bila facts halafu unaanza kulilia wengine facts? I mean just drop it huna FACTS!

William.
 
- Tatizo ni kwamba huna FACTS, wala substance kwani unakubali mwenyewe kwamba hujui kwa nini alienda, hujui aliongea nini na wala hujui sheria inasema nini kuhusu kwenda kwake, sasa unataka mimi nitoe FACTS ambazo huna, kwa nini hukuuliza toka mwanzo FACTS kwanza?

- I mean drop it bro, aibu!

William.


William, cut the b***t, you either know what you are defending or you don't, and do not think for a minute those wring here are 'clueless'. So put that in your pipe and smoke it!
 
William umekosa tangible reasons za kumtetea Shyrose Bhanji unajiumauma tu bila sababu za msingi.Kama vile kule Jeshini ameanza kutembe gwaride kwa mguu wa KUSHOTO.Ushauri aliopewa na wengi ni mzuri sana kwake na aufanyine kazi.Kama yeye angekuwa mkurugenzi wa NGO na kwamba kama alienda kuongea na balozi kuhusu NGO yake ni sawa na kama alikwenda kwa maslahi ya benki yake ya NMB labda inataka kufungua matawi au kufanya biashara Kenya ni sawa ,lakini kama alikwenda kwa wadhifa wa balozi mteule shhe is totall wrong na kama mnafanyia promo hapa jamvini mmepotea wote.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
- Sasa unaaanzishaje mada bila facts halafu unaanza kulilia wengine facts? I mean just drop it huna FACTS!

William.
Mnaambiwa ya ukweli unaanza facts.....!
Huyo Shy-rose kwa nini asianze na kina mzee Sitta au Wizara husika, Nyie ndio mkifika kule mnaishia kupiga makofi na kugonga meza... kushnei!

 
Back
Top Bottom