Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
- Thread starter
- #21
Ukitazama TV Iliyotumiwa na Sheikh kundecha... ukatafuta alisimamishwa kwa tuhuma za "kula pesa za daccos" unapata picha ni kwanini avae joho alilovuliwa...
Maendeleo hayana vyama!
Yule Sheikh aliyeukana waraka wa Sheikh Ponda alihojiwa na Channel Ten, TV ya CCM.