Shule za vipaji (special school)

Shule za vipaji (special school)

Kuna hizi shule Tanzania wanasema ni za vipaji, Kisimiri, Kilakala, Ilboru, Kibaha, Mzumbe n.k.

Je, kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)?


Shule za vipaji??---🤣 na shule za vifua, matumbo nk, zipo??
 
Back
Top Bottom