Shule za vipaji (special school)

Shule za vipaji (special school)

Kuna hizi shule Tanzania wanasema ni za vipaji,kisimiri,kilakala,ilboru,kibaha,mzumbe n.k,je kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)
Hata Matokeo wote wakipata Zero bado ni shule za Kipaji Maalum , TOfautisha Shule za Kipaji Maalum na Wanafunzi wenye Vipaji.......Kwahiyo hata wanafunzi wote wakifeli Bado hizo shule ni za vipaji maalum unless Serikali ibadilishe.
 
Habari ya vipaji tu me ndo kwanza nimezisahau kwanza nimepuuza siku hizi hata nkama primary school na maghweta sec zimekuwa zinagonga A za kutosha tu

Ila nimekumbuka mbali sana eti wazee na walimu wanajiandaa kuwa nitaenda kipaji mara paap nimepata ufaulu wa kata halafu asiyetegemewa hata akabukua kipaji
 
Una nchi ya watu milioni 60

Huna namna ya kuvuna na kulea vipaji

Utapata taifa hoe hae tu,kila mtu anajifanya

China ina special schools

Marekani in Ivy League Schools

UK navyo hivyo hivyo

Kwamba kwenye society kuna watoto wenye akili nyingi by biological lottery,inabidi uvune na kuvilea vilete spark kwenye jamii jamii nzima iende mbele

Nyerere aliona hili ndio maana kajenga hizi shule za watoto wenye vipaji maalumu

Sasa wameingia viongozi kwanza hawana akili....plus wana wivu na watoto wenye akili nyingi,hivyo kwa chuki binafsi wamefuta zile shule ili nchi iwe ya wajinga kama yeye alivyofeligi shule

Aiseee.....tutakua wa mwisho tuu
 
Kuna mdau mmoja amesema hapo kuwa shule hizi zilipoteza umaarufu 2006 nami nakubaliana nae kabisa.

Najuwa wengi wanaweza kataa lakini kama wewe ni miongoni mwa wanafunzi waliopitia shule hizi lazima uungane nami
1.kwanza wanafunzi waliokuwa wanachaguliwa kwenda huko walikuwa vichwa haswa sio hawa wala chips waleo ,
2. kaangalie syllabus za mosomo yote miaka hiyo ulinganishe na sasa ndio utaelewa nazungumzia nini.

Leo mwanafunzi wa form 4 Tabora boys hawezi kuongea kimombo kweli bado ni shule ya vipaji?
Wakati sisi tu form 1 mwezi wa tatu baada ya English course mtu unajimwaga vilivyo na umombo ulioshiba kabisa
 
Una nchi ya watu milioni 60

Huna namna ya kuvuna na kulea vipaji

Utapata taifa hoe hae tu,kila mtu anajifanya

China ina special schools

Marekani in Ivy League Schools

UK navyo hivyo hivyo

Kwamba kwenye society kuna watoto wenye akili nyingi by biological lottery,inabidi uvune na kuvilea vilete spark kwenye jamii jamii nzima iende mbele

Nyerere aliona hili ndio maana kajenga hizi shule za watoto wenye vipaji maalumu

Sasa wameingia viongozi kwanza hawana akili....plus wana wivu na watoto wenye akili nyingi,hivyo kwa chuki binafsi wamefuta zile shule ili nchi iwe ya wajinga kama yeye alivyofeligi shule

Aiseee.....tutakua wa mwisho tuu
Yes! Nikuulize?
 
Back
Top Bottom