Vipaji maalumu ilikua enzi hizo miaka ya nyuma huko, ila Bado ulikua ujinga tu.... Mtu anakua Tanzania one ataishia kusoma tele engineering udzm tu au kufundisha mchikichini hakuna hata scholarship za maana, nchi wanatoa scholarships za kusomea Algeria, mwaka wa kwanza unalazimishwa kujifunza kifaransa kwanza, alafu ufanye bachelor Kwa kutumia lugha ya kifaransa, watu wakaona upuuzi.....
Tunaongozwa na failures unategemea elimu ipewe kipaumbele??? Nchi ishakua ngumu hii huwezi kuskia wasomi wanapewa airtime kwenye media watu wako busy na bonge la dada na yule msanii wa doto magari