Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,224
Mwigulu ni zao la shule za vipaji
Ukiacha Tabora boys; hizo nyingine zote ulizozitaja siyo special schools.Ww umefafanua vizur.
Miaka ya nyuma, 2000s kushuka chini. mtu ukichaguliwa Pugu. minaki. azania. Tambaza. Zanak. Tabora boys, Ashira. Shycom nk ulikuwa unaheshimika.
Watoto wa 2000+ Sang'udi na arkam mpogoro hawawez elewa hizi hustle
😂😂😂His comment is in a wrong setting.What you said above is irrelevant .
Perhaps you should look hard on how you see things.
Mmmhhhh kwa kweli , maana ana kipaji!!!😂Mwigulu ni zao la shule za vipaji
zitaje za dar tu
Na Kisimiri Arusha.DSM hakuna special school.
Kwa Tanzania special schools (kwa wavulana):
- Tabora Boys
- Mzumbe
- Iliboru
- Kibaha
Dar hakuna special schools.zitaje za dar tu
Umeongea kwa hisia sana hadi nikakumbuka mbali enzi hizo ma TO wamejazana mchikichini kupiga pindi tena kwenye mazingira mabovu huku wakishindia mihogo mchana inasikitisha sana ila ndio hivyo watu hawaoni wako bize na bonge la dadaVipaji maalumu ilikua enzi hizo miaka ya nyuma huko, ila Bado ulikua ujinga tu.... Mtu anakua Tanzania one ataishia kusoma tele engineering udzm tu au kufundisha mchikichini hakuna hata scholarship za maana, nchi wanatoa scholarships za kusomea Algeria, mwaka wa kwanza unalazimishwa kujifunza kifaransa kwanza, alafu ufanye bachelor Kwa kutumia lugha ya kifaransa, watu wakaona upuuzi.....
Tunaongozwa na failures unategemea elimu ipewe kipaumbele??? Nchi ishakua ngumu hii huwezi kuskia wasomi wanapewa airtime kwenye media watu wako busy na bonge la dada na yule msanii wa doto magari