Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,188
- 8,215
Nahitaji kumhamishia binti yangu toka shule ya kutwa kwenda ya Bweni chaguo la haraka ni shule za Mkoani Arusha.
Naomba wadau mnijuze shule nzuri za wasichana za Serikali za bweni zilizoko Arusha
Ahsanteni
Naomba wadau mnijuze shule nzuri za wasichana za Serikali za bweni zilizoko Arusha
Ahsanteni