Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Iwapo ni moja wa wanaoishi kwa kipato cha shida, na kapewa hizo nguo, ni vigumu kutozivaa.
Iwapo ni moja wa wanaoishi kwa kipato cha shida, na kapewa hizo nguo, ni vigumu kutozivaa.
Ni kutojua tu maana ya hayo yaliyoandikwa kwenye Tshirt yake, vinginevyo kama ni kwa shida ya nguo angeivaa ndani nje.
Hahaha..mkuu, afu usikute sasa hapo katoka sasa na girlfriend wake!
Kuna jamaa mmoja nimemuona kavaa t-shirt imeandikwa mortuary tender.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Huyu choko kweli!