Ni ubinafsi na kukosa vipaumbele tu kwa serikali yetu. Balozi Maajar ameingilia kati suala la watoto kukaa chini kwa kuanzisha mfuko wa madawati. Zinahitajika Shs. bilioni 3 tu kuhakikisha kila mtoto anakaa kwenye dawati. Hivi kweli hivi si vijisenti tu kwa serikali yetu?