Shule ya Bendel Memorial Moshi wanachapa sana watoto

Shule ya Bendel Memorial Moshi wanachapa sana watoto

Very weak way of making argument. Yaani kwa kuwa shuleni kwako yapo ya aina hiyo, ulipoona la huyu MchunguZI ukajua ni yaleyale ya kwako na majibu ukatoa yale yale ya huko kwako! Ktk taaluma yako ya ualimu kuna sehemu ulifundishwa kwamba viboko ni sehemu ya kufundisha?

Which useless college was that? I hope you are not a certified dog trainer?

Katika ualimu lazima ufundishwe punishment n rewards ili uweze kupata mwanafunzi ambae atakua both academically n disciplinary well, katafute kitabu kinaitwa educational psychology by Johnny McArthur nenda kaaagalie chapter ya reward n punishment utakuta miongoni mwa punishment ni fimbo
 
Viboko vikisha tumika inakuwa ni adhabu. Lengo la adhabu ni deterrent. Kama mtoto akiwa ni mwizi kiboko kinaweza kuwa ni deterrent ili asiibe, kama mtoto wako anatukana watu kwa ukorofi wake, kiboko ni deterrent aachane na ukorofi.

Sasa tofautisha hayo na mwalimu anayefundisha Vita ya maji maji, wanafunzi hawaelewi au anafundisha Archimedes's Principle halafu anaamua kutumia kiboko. Lengo ni nini? Hiyo ni adhabu, deterrent, ili iweje? Angeweza kusema labda wanafunzi hawakuingia darasani na sasa anatumia kiboko kama deterrent ili waingie Darasani na wafundishwe, lakini hakuna! yeye anaamua tu kupiga kama ile amri ya Pinda bila kujali au kujiuliza udhaifu wake wa kuwaelimisha wengine au hata tofauti ya binadamu kuelewa mambo. Tunatofautiana kuelewa mambo tofauti. Hiyo ni anthropology tutaelezana siku nyingine ukipenda.

Shule nyingi sana za aina ya kwako, ambazo wanapigwa kama ngoma, wanafunzi hawajiamini maana wanazoea kuepuka mtu anayewazidi, ambaye angewafundisha lakini sasa ni adui yao. Hata baba au mama wa aina hiyo anawafanya watoto wasiulize na kila akiingia wanatokomea vyumbani. Eti mama au baba ni mkali. Rubbish!

Kwa ujumla sisi ni binadamu, wenye utashi, wenye maaamuzi baada ya kufikiri. Matokeo ya viboko vya kipuuzi kama hivi ni tofauti kwa kila mtu na hakuna universality.

Hebu angalia video ifuatayo halafu niambie kama kweli kuna darasa ambalo wanafunzi wanaweza kuwa wapuuzi wote kiasi cha kupewa fimbo wote. Ni matokeo ya kuwaruhusu waalimu kama wewe kuchapa vijana, munakuwa addicted, munapenda fimbo kama pochi au handkerchief na kujikuta sasa kila sehemu ni kuulizia umpige nani kama huyu mzazi alivyouliza. You can't make caning part of training human being, it is a deterrent!

https://www.youtube.com/watch?v=KJq8PqvMFaM

Umemfundisha mwanafunzi darasani akakwambia kaelewa,unamwambia swali linajibiwa hivi, ukimpa swali afanye hafanyi, mtihani anafeli, utaendelea kumpa mahubiri tu?? Utasubiri yesu ashuke ndo huyu mtoto atafanya vizuri, muda mwingine wattoto wanalazimishwa kusoma ,Mzazi anapomkabidhi mwalimu mtoto wake atadai matokeo mazuri n sumtyms fimbo zitamsaidia kuwa km negative reenforcement
 
Nanufaika nini? nmechukulia kukuheshimu tu ujue ndo maana nakujibu tu vizuri, nimeliita gazeti kwa sababu nmekuuliza swali viboko vinasaidia havisaidii? Umeruka ruka kama maharage kwenye sufuria, mara personal attack...nnachoona ni majisifu tu unashule unashule sijui wa kamachumu wewe, mi sina shule niliishia darasa la tano B, ni lazy teacher na still natumia what you call old way of teaching (viboko) kuna shida??? Basi tulale....

Hahahah umempa kisu cha kwenye mfupaaa!!
 
Viboko hivyo ndiyo vinafanya wanaperfom vyema....na hata maandiko yanasema usimnyime mtoto viboko...
 
Katika ualimu lazima ufundishwe punishment n rewards ili uweze kupata mwanafunzi ambae atakua both academically n disciplinary well, katafute kitabu kinaitwa educational psychology by Johnny McArthur nenda kaaagalie chapter ya reward n punishment utakuta miongoni mwa punishment ni fimbo

Umemfundisha mwanafunzi darasani akakwambia kaelewa,unamwambia swali linajibiwa hivi, ukimpa swali afanye hafanyi, mtihani anafeli, utaendelea kumpa mahubiri tu?? Utasubiri yesu ashuke ndo huyu mtoto atafanya vizuri, muda mwingine wattoto wanalazimishwa kusoma ,Mzazi anapomkabidhi mwalimu mtoto wake atadai matokeo mazuri n sumtyms fimbo zitamsaidia kuwa km negative reenforcement

Madudu gani haya unayoandika sasa! Hicho kitabu ni standard book kwa waalimu wote? Usinifanye mtu wa mtaani. Hii ni dunia unayotakiwa kufanya reference kwenye proved theories, siyo kitabu cha fulani, cha nyangwile, cha mkosamali, cha kipasola, n.k.

Unasema fimbo ni moja ya adhabu ambazo hicho kitabu chako kinakushauri, zingine ni zipi? hujagundua kwamba waalimu wengi wanapendelea hiyo moja ya viboko? Unadhani ndo inafanyakazi vizuri? There is a psychological satisfaction amongst teachers making them feel superior. Duniani kote, iwe ni shuleni au magereza corporal punishment is a humiliating punishment. hilo tusibishane labda kama uko level nyingine. Uzembe wa kufikiri sasa hivi shule zetu wanachapa hata mtoto wa kindergarten!

Psychology ya superiority ni mbaya na ndo inawafanya hata watendaji wa wizara ya elimu kunyanyasa wenzao wanaofika ofisini kwao kwa shida zingine kabisaaa!
 
Nanufaika nini? nmechukulia kukuheshimu tu ujue ndo maana nakujibu tu vizuri, nimeliita gazeti kwa sababu nmekuuliza swali viboko vinasaidia havisaidii? Umeruka ruka kama maharage kwenye sufuria, mara personal attack...nnachoona ni majisifu tu unashule unashule sijui wa kamachumu wewe, mi sina shule niliishia darasa la tano B, ni lazy teacher na still natumia what you call old way of teaching (viboko) kuna shida??? Basi tulale....

Unavyoona hilo lilikuwa swali? Au kwa kuwa umeweka alama ya kuuliza basi limekuwa swali? This is another tragedy! Naona eti unapongezwa! Let me advise you that personal expression is a greater recommendation than any like from unknown creatures.

Btw. Kwa nini unatangaza kuniheshimu, tunafahamiana? Unaamua tu kuheshimu watu bila ushemeji wala u-kaka, je ukija ambiwa mi mbakaji utasemaje?
 
Unavyoona hilo lilikuwa swali? Au kwa kuwa umeweka alama ya kuuliza basi limekuwa swali? This is another tragedy! Naona eti unapongezwa! Let me advise you that personal expression is a greater recommendation than any like from unknown creatures.

Btw. Kwa nini unatangaza kuniheshimu, tunafahamiana? Unaamua tu kuheshimu watu bila ushemeji wala u-kaka, je ukija ambiwa mi mbakaji utasemaje?
Angeweza kusema labda wanafunzi hawakuingia darasani na sasa anatumia kiboko kama deterrent ili waingie Darasani na wafundishwe, l
yani katika kuongea kwako kooooote point ni hii hapa, na naona unakubaliana na mie viboko vitumike pale inapobidi, kuponda kote na kuiita ni old way of teaching ni ukoloni but mwenyewe umeona kuna mahali matumizi ya viboko inabidi
hope mjadala ulikuwa hapo na conclusion tayari

sa mtu ku support nayo imekua shida? Basi pole mr educator msomi wa kamachumu.....mjadala umeisha
 
Bila viboko nisingelikuwa hapa kipindi kile nilichapwa sana tena sana.
Kuna ticha mmoja alinifundisha primary yule mama alikua anacharaza viboko hatari, wiki yake akiwa zamu shule nzima inawahi namba, madarasani ni kimya tu hakuna kelele make usiombe kuandikwa jina mpiga kelele teh unatamani kupupu hiyo mvua ya fimbo
 
MimI sidhani km wanapiga bila sababu..
There must be a reason...na jitahidi uwe unafuatilia huko shulenI usisikilize tu one side..
Ht shule niliyosoma mimi ni private ni kunyukwa kwa kwenda mbele km una makosa ...mfano
#Wakati wa remedial classes lazma wote muwe class ole wenu mkutwe colidoni mnapiga story eti kisa ticha hajaingia...km hajaingia jisomee...
#ukikitwa umevua tai na hujachomekea ni fimbo
#ukikutwa bwenini bila sababu maalum mda wa kuwa assembly. .nk
Yote hayo ni kuvunja sheria...so ilikua lazma uchapwe..cz adhabu zingine watu hawaziogopi
Sasa kmhiyo shule inasheria zake km mdau alivyotoa ushuhuda..hutakiwi kukosa sala na vitu vingine lzm atachapwa
Hivi watoto wa kizazi hiki umpige bila sababu si atakupiga ngumi teh make hata akiwa na kosa tu unamchapa anakutolea macho ndo ukamuonee?mmh mwalimu hajipendi
 
Spare the rod,spoil the child!wewe kama umeuza ng'ombe kupeleka ng'ombe nyingine shule tegemea malalamiko kama hayo ya mwanao.
 
yani katika kuongea kwako kooooote point ni hii hapa, na naona unakubaliana na mie viboko vitumike pale inapobidi, kuponda kote na kuiita ni old way of teaching ni ukoloni but mwenyewe umeona kuna mahali matumizi ya viboko inabidi
hope mjadala ulikuwa hapo na conclusion tayari

sa mtu ku support nayo imekua shida? Basi pole mr educator msomi wa kamachumu.....mjadala umeisha

Uliandika mara ya kwanza, nikadhani umeishiwa siraha sasa unajaribu kubeba chochote. Naona umerudia. Kamachumu ulipata nini? Au unahisi kila anayekuzidi uelewa anatoka kamachumu? Au unajaribu kugeuza mjadala liwe jambo la ukabila?
There must be a sort of syndrome haunting you! Tatizo ninalopata kwako ni hali unayoonyesha kwamba wewe ni mwenye uelewa wakati my quick scanning of your postings proves the opposite! Mtu akikueleza hivyo mara kadhaa, take it seriously and try not to be less than where you need to be, unless, I will prove that you are spineless.
 
Niliwahi kusoma shule inapiga viboko kinoma. Jambo ambalo sikuwahi kuliona ktk shule za awali nilizosoma. Kwakuwa sikuzoea nilijitahidi kufanya kila linalowezekana kukwepa bakora.
Msisitizie mwanao hilo.
 
Kuna ticha mmoja alinifundisha primary yule mama alikua anacharaza viboko hatari, wiki yake akiwa zamu shule nzima inawahi namba, madarasani ni kimya tu hakuna kelele make usiombe kuandikwa jina mpiga kelele teh unatamani kupupu hiyo mvua ya fimbo

Kuna jamaa anaitwa Mr Makwata. Hahaha siku zake za zamu shule inakuwa ka hospitali kimyaaaaaaa sababu alikuwa katika eneo husika 10mns kabla ya tukio linalofuata. Mfano morning prep ilikuwa inaanza 5am ikifika 430am keshafika anazurura kwenye corridor za dormitory. Sasa ole wako kengele ikilia ikukute kitandani au njiani na sio darasani umeshika kitabu unasoma.
Dah it was such an experience. Mtu ambaye hajaenda shule amekosa uhondo mwingi mno
 
We ndo umewaza mchunguzi ni housemaid mi nimemjibu kama mzazi
Sina watoto wa kunichosha mtoto wangu ndo kwanza hata mwaka hajafikisha na sidhani kama atakuja kunichosha make hakunaga tembo anaechoshwa na mkonga wake
back to topic, nlivomwambia huyu hata mzazi mwingine ntamwambia pia, shule nnayofundisha wanakujaga wazazi na malalamiko haya haya mara mtoto siju kapewa adhabu, mara kachapwa utakuta mtoto mwenyewe hata sie walimu anatuchosha ni basi tu tunakomaa nae kutimiza majukumu, yap tunalea watu hatulei mayai, mie kama mwalimu adhabu na viboko ni part ya kumfundisha na sio kumkomoa mtoto wa mtu, hivo kama unaona mwanao anaonewa, anachapwa sana beba peleka wasikochapwa ambako hakuna old way of teaching

Evely my dear lets face facts here, kuna shule wanafunzi wanachapwa kuliko maelezo, na hizo shule kiburi chake ni kua zinafaulisha vizuri, mtoto wa dada angu kasoma Moshi Airport nahisi inauhusiamo wa karibu na hio bendel trust me alikua akirudi chozi linakutoka, and she is veery bright, mature for her age, responsible, hajui kudeka and nimsiri hata akionewa ila ilifika kipindi alifunguka, kuna Msolwa uwii hapo mwanao ana afya yake mgogoro basi unaeza zika, hio Moshi kuna mwanafunzi alikufa kwa uzembe wa masister,.... masister wengi wako too strict nahisi kwa sababu hawana ile motherly feeling hua hawajali sana...
 
Viboko hivyo ndiyo vinafanya wanaperfom vyema....na hata maandiko yanasema usimnyime mtoto viboko...

Maandiko gani hayo? Unawezaje kusema maandiko bila kuangalia msg ya muulizaji? Hapo ndo watu wanakosa point. Yeye hajasema hataki mwane asichapwe, anachouliza ni mtindo wa uchapaji. Yaani mlinzi anachapa watoto mijitu inashangilia eti nayo ilichapwa.

Tunaweza kuwa tunahangaishwa na waliokuwa wanahitaji viboko kama nguruwe, sasa wanadhani kila mtu ni kama wao, lazima achapwe. Na watu wa aina hiyo wakishakuwa ni waalimu, wanadhani lazima na wao wafundishe kwa viboko bila kujali udhaifu wao
 
Huu ni ushauri wa marehemu nadhani! Unawezaje kumshauri mtu aruhusu mwanae apigwe fimbo. Kama na wewe unaamini umesoma kwa sababu ya kupigwa, basi amini ulikuwa ng'ombe.
Kuna shule zina nidhamu ya bakora. N mpaka unapigwa bakora ina maana imejiweka katika makosa. Kitu ambacho unaweza kujiepisha pia.

Sasa kwa taarifa yako nilichapwa term 1st tu n niliamua kutochapwa tena. Mpaka namaliza term 6th (shule ina term 6 kwa high school) sikuwahi kuchapwa tena.

Ni uamuzi tu as long unajua unafuata nn shuleni.
 
Na wachapwe tu, maana tumechoka. Kama wakichapwa wanaelewa na mwisho wa siku wanafaulu vizuri, basi na viboko viendelee tu.

ni kweli naamini watumishi wa hizo shule ni timamu sasa kama kijana anavunja kanuni na ni mbishi mjeuri, mkaidi ,hakuna jinsi wapigwe tu hata waziri mkuu amekwisha litolea ufafanuzi jambo hili
 
Kwani wamemshikilia hapo? Mtoe mpeleke huko unakodhani ni sahihi
 
Kuna positive renforcement, negative reinforcement na purnishment. Hizi ni njia tatu tofauti, zinazotumika kulnfanya mwanafunzi kuendelea vizuri kimaso na kinidhamu.

Kama mwalimu/mlezi anatakiwa kuanza na positive reinforcement. Akishindwa, anafuata negathve reinforcement. Akishindwa pia ndio aje kwenye purnishment. Tena purnishment isiwe vipoko ktk hatua za awali. Kuna adhabu nyingi tu (tofauti na viboko) ambazo zinaweza kumfanya mwanafunzi akawa na nidhamu shuleni.

Kuhusu viboko kua kama ndio njia pekee ya kulinda nidhamu shuleni, mimi siisapoti. Mbaya zaidi, hata mlinzi naye anachapa. Ila isifikie hatua mpaka wake na watoto wa walinu, nao wakaruhusiwa kuchapa.

Ila hata hivyo, kama mzazi, unatakiwa kwenda shuleni, kufuatilia maendeleo ya mwanao kimasomo na kimaadili. Maamuzi yako yatokane na taarifa za shuleni na zile anazokupa mwanao.
 
Back
Top Bottom