Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,749
- 4,858
oooh kumbe case study ni Mexico? Hebu fanya iwe Tanzania ili twende sawa.
i see thinking capacity yako ndo unafaa kabisa kuwa mwalimu ila ndo hivo mi nshakua na hamna namna
Oooh! Yaani nikikutoa nje ya TZ huelewi kabisa eti!
Case study! kwa nini practiced behaviour au norms unaita case study? Evelyn, hebu tuendelee baadaye utagundua mimi niko wapi na utanipenda tu! Ikiwezekana usione aibu kuwa mwanafunzi wangu.
Now, you are inviting me to zero in my thinking to Tanzania. Don't drag me into ignorance. I am educated and I like to be an educator who look at the world from the sky with no horizon scapegoat. I am catholic in education. Niulize sayansi nitakumegea, siasa nitakupa, sayansi jamii usiseme, etc.
Nakushauri ujinasue na mawazo mgando. jiulize kwa nini wakoloni walitoa elimu na fimbo kwa waafrika, lakini shule za watoto wa kizungu hawakuchapwa fimbo. Leo hii tuko nyuma kielimu pamoja hizo fimbo na hakuna nchi ulaya ya kati inayochapa fimbo na elimu yao iko very fine!