God is Dead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,312
- 1,533
Ww husituchoshe kama unaona elimu yetu mbaya peleka mtoto wako DIS au IST huko hakuna viboko sasa ww mwezangu na mm ada ya milion 20 kwa mwaka huna alafu anataka kubadikisha system ya shule ya ada ya milion 2 kwa mwaka
Watu wenye ela wanasimesha watoto wao kwny elimu ya juu same as usa na uk hapa hapa bongo na viboko hakuna
Sasa ww unapenda maisha ya juu ela huna peleka huko moshi apigwe mpaka afaul coz elimu ya bongo siyo kuelewa ni kufaulu mthihan tu
Unameza mavitu ww mpaka unakuta kwny mtihani ndio ufaulu dah
Ngoja nipambana nipeleke mtoto wangu huko sawa na wazungu tu
Poor handwriting ever met