Shule Vs Mafanikio

Lakini kunatetesi kwamba matajiri wengine wanaenda kwa watalaamu, Watu na dawa zao. Wengine ucku wa manane wanaenda kuoga njia panda, Wengine kuku anakula mahindi yani watu wengine wanapata mafanikio kishirikina.
 
madogo mimi niwashauri kitu kimoja.. chochote unachokigusa pambana haswa.. utamaliza degree una miaka 26, kama unataka kuianza hio biashara anzia hapa.. huko unakosoma kuwa mdadisi unapenda nini.. Elimu bado ni lulu, wanangu someni.. na kuwa msomi si kigezo cha kuwa masikini.
.
.
japo nakiri wasomi wengi ni waoga, uoga ndio umaskini, usiposoma ukawa mwoga pia utakuwa masikini.. someni jitumeni hata huyo billget aliiisoma vizuri computer akapata mwanga, akaona ule mfumo kuna kitu anakikosa akajitosa kwenye short course na sasa tunamwona alivyo. tusiige.. CHOCHOTE KINACHOPITA MBELE YAKO KIFANYE KWA USTADI.. NA USIJISAHAU!!
 
Uko sahihi mkuu hata Mimi nimegundua hilo.
Kwa Tanzania kadri unavyozidi kusoma sana ndio kadri unavyozidi kupunguza asilimia za kufanikiwa na kuwa kituko ktk jamii.
E.g Lpumba,Palamgamba,Shika.

Wewe na Lipumba nani kituko? Lipumba anamiliki nyumba Mbezi Beach, anatembelea V8 unamuita kituko? 🤣🤣🤣🤣 Hebu kuwa serious Mkuu Elimu ni muhimu sana hata Billgates alifika chuo tena Havard
 
Wewe na Lipumba nani kituko? Lipumba anamiliki nyumba Mbezi Beach, anatembelea V8 unamuita kituko? Hebu kuwa serious Mkuu Elimu ni muhimu sana hata Billgates alifika chuo tena Havard
Mkuu hatumaanishi kusoma kwamba hakuna maana ila elimu standard tu inahitajika Kama ya first degree inatosha kabisa kutoboa.
Lakini kusoma maPHD wakati bongo hakuna ugunduzi wowote ni westage of time.
Sasa kwa mfano prof au Dr. akitemwa kwenye kuajiriwa analia Sasa elimu Kama hyo ina msaada gani?
 
Je kati ya watu wasio soma /ambao hawakwenda shule ratio yao ipoje kwa upande wa matajiri na maskini miongoni mwao
 
Mafanikio ya mtu hupimwa na utajiri pekee? Je mimi nikisema nimefanikiwa utanielewa?

Mafanikio ni mafanikio kio ila inategemea unasimama Katika angle gani.
Hata kuwa na michepuko 10 ni mafanikio vilevile lakini hapa yanazungumzwa mafanikio ya kiuchumi
Financial freedom
 
Hakuna idadi rahisi kuijua kama ya matajiri ambao hawajasoma,maana ni wachache na rahisi kuwahesabu..pia matajiri hawa wa Tanzania wanafanya biashara za ushirikiano na wasomi,kuna watu wanapokea mgao na maisha yanaenda, sio lazima uonekane eti una majengo kibao magari kibao ndio fahari yako.Mfano kupitia Bakhressa wengine wanaishi vizuri na nyumba nzuri na wamesoma.. Captain wa meli ya Kilimanjaro hawezi kuwa na elimu ya kuendeshea jahazi..na ujue ana maisha mazuri.
 
Nimekukubali, binafsi nawaona washikaji waliotuburuza darasani now days tunawaburuza mtaani
 
Hakuna idadi rahisi kuijua kama ya matajiri ambao hawajasoma,maana ni wachache na rahisi kuwahesabu..pia matajiri hawa wa Tanzania wanafanya biashara za ushirikiano na wasomi,kuna watu wanapokea mgao na maisha yanaenda, sio lazima uonekane eti una majengo kibao magari kibao ndio fahari yako.Mfano kupitia Bakhressa wengine wanaishi vizuri na nyumba nzuri na wamesoma.. Captain wa meli ya Kilimanjaro hawezi kuwa na elimu ya kuendeshea jahazi..na ujue ana maisha mazuri.
Chukua Hatua
 
Kwenda shule ni some times ni kupoteza muda!!!



Kuna watu watasema nasema hivo sabab cjaenda shule..mm nmesoma sn ndo maana masema hiv
Sina maana mbaya ila uliigaiga tu kwa wenzako, flani kaenda form six na mimi lazima niende!! utasoma kwa ku force, lkn kuna watu walipenda kwa moyo wote kuwa Clinical officers tu, na kweli wanafanya kazi nzuri zaidi ya Dr bingwas , na wanamiliki Hospitals kubwa sana na mabiashara mengine!!

walisoma kile wanachopenda, hata umwambie aache ile kazi hakuelewi. Mafanikio pia inategemea jamii uliyomo, ukiwa DSM na ka Diploma kako unaonekana mbuzi tu, mikoani huko ni heshima tele, Una mafanikio,

Siamini kuwa mtu anatajirika bila Elimu, haya maarifa, na taarifa, ni Elimu tosha, km ya drsani, tulisoma kuwa zamani Elimu ilitolewa kwa fasihi sasa kuna ''Fasihi andishi na Fasihi simulizi' Hizi zote ni Elimu pia ''Mali bila Daftari hupotea'' hapa utaandika nini bila Elimu?

Tatizo lenu kubwa mna undermine Std four,au seven, eti ile siyo Elimu ni hujasoma! kujua kusoma na kuandika ni Msomi sana, hata USA hkn wanaojua kusoma na kuandika. leo hii nafuga Mbuzi, na shamba la mipera kwangu. maarifa haya ni ya Elimu ya DRS la saba huko nyuma. kifupi niseme hakuna tajiri ambaye hakusoma. ila

Elimu gani?
wapi?,
lini?
nani?
ki vipi?
kwa nini? ndiyo tatizo sugu! utakuta mtu analia sana sana kwa moyo eti hakusoma! ukimchunguza Drs la saba. huyo ni msomi kwa kunzia hapohapo anaweza kusoma na akawa vyovyote! Mazingira nayo yanachangia sana. , mara ataona unamsanifu!! mtu km huyu kumsaidia ni kazi ya ziada

Mfano mazingira ya Mbeya ni ya kilimo kilimo, akijikita shambani lazima apasue tofauti na mtu anaye toka mazingira ya Mtwara kulee Mahurunga jembe kule ni msamiati japo ardhi nzuri.

Mwita Gachuma, alikuwa hana Elimu kabisa, lkn tajiri, ilibidi aende shule faster ili Biashara zake zivuke mipaka ya confined geographic areas, na kweli yuko vizuri. kwa sababu anaweza ku-argue intelligently,
 
Ukisoma kwa mkumbo no kufanikiwa. angalia somo linalo kufaa lenye kipaji chako! Nakataa hkn tajiri ambaye hajasoma. ELImu ilikuwepo tangu zama za kale sana Deep antiquates.

Mungu alisema ''mshike sana Elimu usimuache aende zake'' tatizo lako unaona Elimu ni ile unayotaka wewe! ulipofika wewe! Diamond amesoma sana tu ilikuwaje akajua kiingereza kizuri km kile? usidharau Elimu yake!

Bill gates, Rockfellr hawasoma? umedanganywa walisoma kwa kiwango fulani ila wakafuata mlengo tofauti na mlolongo wa kawaida, kusoma hata hapa unapata Elimu, hata chini ya mti, hata kwa mganga wa kienyeji unasoma unajua dawa.

Chloroquine Iligunduliwa na mwanajeshi kuruta but msomi kupitia mganga wa kienyeji. wengine hupitia njia ngumu sana za giza kuimarisha biashara zao kitu ambacho msomi hafanyi! lazima usome ujue kuandika na kuhesabu utakuwaje tajiri bila kujua hesabu?

Babu yangu alitumia vijiti kuhesabu ngombe wake zizizni ilikuwa ni elimu pia aririthisha kwa wajomba zangu. wabongo wananiudhi kudharau drs la 7 wkt Elimu haina mwisho hata uwe nadegree 8000 utajiona bwege tu!
 
Point of correction,bill gate ni msom na aliacha chuo coz alikuwa ahead of time yote aliyokuwa akifundishwa alikuwa akiyajua na zaid so akaona its wastage of time,the guy is genius aisee
 
Back
Top Bottom