Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,582
Wakuu!
Kwa uzoefu wangu, ninaona shule ni ngumu kuliko kitaa.
Mimi nikikuburuza shuleni ukakaa, basi jua mtaani hutonishinda kwa chochote kile hata kuzaa tuu watoto ambao ni bure kabisa.
Kuna mdau kaanzisha mada kasema Vipanga jeuri mtaa unawanyoosha, kiukweli mimi nilishaapa kuwa nikikuzidi kiakili darasani basi jua kimtaa hutanizidi, na hilo nimelimudu.
Masomo ni magumu kuliko mtaa. Mitihani ya darasani ni migumu kuliko ya kitaa.
Kitaa wajinga wapo wengi ni uwezo wako kuwatumia. Kitaa fursa zipo nyingi ni uwezo wako kuzitumia. Unashindwaje kwa mfano?
Darasani waalimu walikuwa wachache na vitabu vilikuwa vichache lakini bado watu tulinyoosha misonge na kuweka vijiti, NECTA wanatujua, TCU wanatujua, na mtaani wanatujua.
Hakuna kazi rahisi kama kupata pesa kwenye jamii masikini na watu wajinga. Ila hakuna kazi ngumu kama kupata elimu kwenye jamii masikini na watu wajinga.
Kwa uzoefu wangu, ninaona shule ni ngumu kuliko kitaa.
Mimi nikikuburuza shuleni ukakaa, basi jua mtaani hutonishinda kwa chochote kile hata kuzaa tuu watoto ambao ni bure kabisa.
Kuna mdau kaanzisha mada kasema Vipanga jeuri mtaa unawanyoosha, kiukweli mimi nilishaapa kuwa nikikuzidi kiakili darasani basi jua kimtaa hutanizidi, na hilo nimelimudu.
Masomo ni magumu kuliko mtaa. Mitihani ya darasani ni migumu kuliko ya kitaa.
Kitaa wajinga wapo wengi ni uwezo wako kuwatumia. Kitaa fursa zipo nyingi ni uwezo wako kuzitumia. Unashindwaje kwa mfano?
Darasani waalimu walikuwa wachache na vitabu vilikuwa vichache lakini bado watu tulinyoosha misonge na kuweka vijiti, NECTA wanatujua, TCU wanatujua, na mtaani wanatujua.
Hakuna kazi rahisi kama kupata pesa kwenye jamii masikini na watu wajinga. Ila hakuna kazi ngumu kama kupata elimu kwenye jamii masikini na watu wajinga.