Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Naona shule pamoja na wanafunzi wa kiislam kuna tatizo kwenye haya matokeo.

what's wrong??

Shule 10 bora form 4
1. Kemebos - Mkoa wa Kagera
2. St. Francis - Mbeya
3. Waja Boys - Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Sabs Girls - Iringa
6. Maua Seminary - Kilimanjaro
7. Feza Boys - Dsm
8. Precious Blood - Arusha
9. Feza Girls - Dsm
10. Mzumbe Secondary - Morogoro.


wanafunzi 10 bora form 4
1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya
2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis
3. Wllhemia Steven - St. Francis
4. Cronel John - St Francis
5. Merry George Ngoso - St Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Brandina - St. Francis
8. Imamu Suleiman - Feza Boys
9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru
10. Clara Straton - St. Francis


Shule 10 bora form 2
1. St Francis Girls - Mkoa wa Mbeya
2. Kemebos - Kagera
3. Graiyaki - Mara
4. Canossa - Dar es salaam
5. Tengeru Boys - Arusha
6. St. Monica Moshono Girls - Arusha
7. St. Augustine Tagaste - Dar es salaam
8. Centennial Christian - Peani
9. Bethel sabs Girls - Iringa
10. Bright Future Girls


Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.


shule 10 bora darasa la 4

1. Twibhoki - Mara
2. Graiyaki - Mara
3. St. Peter Claver - Kagera
4. Green Star - Shinyanga
5. Kwema Modern - Shinyanga
6. Kikodi - Ruvuma
7. Bohari - Kagera
8. Rocken Hill - Shinyanga
9. Musabe - Mwanza
10. Mtuki - Dar es salaam


wanafunzi 10 bora darasa la 4
1. Joel Leonard - Libermann
2. Falima Mwenura - Green Star Junior
3. Goodluck Mtaki - Green Star Junior
4. Careen Slaa - Sasa
5. Joyce Ndonde - Wonder Kids
6. Samirah Mnali - Wonder Kids
7. Jonathan Maziku - Green Star
8. Balkis Majowe - Wonder Kids
9. Christopher Kileo - Green Star
10. Doreen Sanare - St Francis De Sale
Hiyo list yako haina uhalisia kwa kuwa, kwa record zangu karibia nusu ya shule hapo juu zina wanafunzi kati ya 7 na 25 kwa darasa. Hivi utawezaje kushindanisha shule yenye wanafunzi 145 kwa darasa na shule yenye wanafunzi 9?
Na ukute hiyo yenye 9 walianza 35 wengine wote wakarudishwa ili mwishoni ionekane wamefaulu wote
Nilipenda pia kupata list ya shule kumi bora zenye wanafunzi angau zaidi 45 ambao ndio wastani wa darasa moja (hapo sijaongelea shule nyingi tu zenye angalau mikondo 3 ( A, B, C na kuendelea)
Nakushauri ufute hiyo list yako kwani haina maana yoyote labda kwa wale makanjanja!
 
Watoto wengi wa Kiislam wanasoma kwenye shule za St Kayumba kama ilivyo kwa watoto wengi wa kitanzania kutoka familia duni....
 
shule nyiingi sana za kiislam ambazo ziko na hali nzuri basi wengi wanaosoma huko ni waarabu na wahindi pamoja na bohora ambao kwa kiasi kikubwa hawatumii mitaala hii na target yao kubwa sio watoto kufaulu bali watoto kuwa na uelewa waje kusimamia biashara au kujiajiri na kama kusoma hapa basi ni basic education na elimu ya juu ni nje ya nchi...
 
Pia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!

Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.

Zanzibar hawahitaji hata kujitenga maana akili za maisha wanazo. Walishajipendelea kwenye muungano na katiba ya Tanzania. Akili za necta wamewaachia wapuuzi wapenda ma vyeti wa bara. Div 1 unayo ila ajira hupati

Zanzibar sio wenzako. Kwenye ajira hao waliopata division 1 hawataweza kushindana na wa zanzibar waliopata div 4.

Hata mama samia alipata div 4 tu. Ila ameshika vyeo vya juu kibao kuliko wanawake wote Tanzania
 
Pia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!

Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo list yako haina uhalisia kwa kuwa, kwa record zangu karibia nusu ya shule hapo juu zina wanafunzi kati ya 7 na 25 kwa darasa. Hivi utawezaje kushindanisha shule yenye wanafunzi 145 kwa darasa na shule yenye wanafunzi 9?
Na ukute hiyo yenye 9 walianza 35 wengine wote wakarudishwa ili mwishoni ionekane wamefaulu wote
Nilipenda pia kupata list ya shule kumi bora zenye wanafunzi angau zaidi 45 ambao ndio wastani wa darasa moja (hapo sijaongelea shule nyingi tu zenye angalau mikondo 3 ( A, B, C na kuendelea)
Nakushauri ufute hiyo list yako kwani haina maana yoyote labda kwa wale makanjanja!
Hiyo st francis ina wahitimu 96.
 
Naona shule pamoja na wanafunzi wa kiislam kuna tatizo kwenye haya matokeo.

what's wrong??

Shule 10 bora form 4
1. Kemebos - Mkoa wa Kagera
2. St. Francis - Mbeya
3. Waja Boys - Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Sabs Girls - Iringa
6. Maua Seminary - Kilimanjaro
7. Feza Boys - Dsm
8. Precious Blood - Arusha
9. Feza Girls - Dsm
10. Mzumbe Secondary - Morogoro.


wanafunzi 10 bora form 4
1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya
2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis
3. Wllhemia Steven - St. Francis
4. Cronel John - St Francis
5. Merry George Ngoso - St Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Brandina - St. Francis
8. Imamu Suleiman - Feza Boys
9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru
10. Clara Straton - St. Francis


Shule 10 bora form 2
1. St Francis Girls - Mkoa wa Mbeya
2. Kemebos - Kagera
3. Graiyaki - Mara
4. Canossa - Dar es salaam
5. Tengeru Boys - Arusha
6. St. Monica Moshono Girls - Arusha
7. St. Augustine Tagaste - Dar es salaam
8. Centennial Christian - Peani
9. Bethel sabs Girls - Iringa
10. Bright Future Girls


Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.


shule 10 bora darasa la 4

1. Twibhoki - Mara
2. Graiyaki - Mara
3. St. Peter Claver - Kagera
4. Green Star - Shinyanga
5. Kwema Modern - Shinyanga
6. Kikodi - Ruvuma
7. Bohari - Kagera
8. Rocken Hill - Shinyanga
9. Musabe - Mwanza
10. Mtuki - Dar es salaam


wanafunzi 10 bora darasa la 4
1. Joel Leonard - Libermann
2. Falima Mwenura - Green Star Junior
3. Goodluck Mtaki - Green Star Junior
4. Careen Slaa - Sasa
5. Joyce Ndonde - Wonder Kids
6. Samirah Mnali - Wonder Kids
7. Jonathan Maziku - Green Star
8. Balkis Majowe - Wonder Kids
9. Christopher Kileo - Green Star
10. Doreen Sanare - St Francis De Sale
Muulize Kimsboy kuna shida gani na shule za kiislam
 
Duh Shule za Kiislamu, Kikristu na Sijua za Wapagani pia Zipo ?

Anyway kama shule haibagui dini wala kutoa / kulazimisha mafundisho fulani ya imani fulani basi ni shule za Watanzania (Atleast I Wish ingekuwa hivyo)
 
Back
Top Bottom