Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Unanifanya nicheke sana ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Labda nikuulize hivi; kwa hiyo tumetoka kwenye hoja ya idadi ya candidates, tukaenda kwenye hoja ya kwamba Islamic schools hazibagui zinabeba hata wanafunzi wenye uwezo duni, sasa tuko kwenye hoja ya udanganyifu kwenye mitihani!?
Narudia tena kusema, kama mindsets za aina hii ndiyo zinasimamia taasisi za elimu zilizo chini ya dini ya Kiislam; never expect miracles. Mpaka kiama itafika these schools will never achieve anything better.
Achieve anything!!...unadhani lengo lao ni kushika no 1 au kuwa top ten!!?..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ so what are they trying to achieve?
Kwamba yaani wamejiridhikia kufelisha watoto?
You can't be serious aisee.
Hivi unajua hii mitihani ndiyo inayotengeneza njia tupate medical doctors, wahasibu, lawyers, engineers nk!
Sasa basi kama hawana mpango wa kuongoza basi at least wafaulishe watoto ili wawe na sifa za kusoma taaluma mbali mbali
Achieve anything!!...unadhani lengo lao ni kushika no 1 au kuwa top ten!!?..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ so what are they trying to achieve?
Kwamba yaani wamejiridhikia kufelisha watoto?
You can't be serious aisee.
Hivi unajua hii mitihani ndiyo inayotengeneza njia tupate medical doctors, wahasibu, lawyers, engineers nk!
Sasa basi kama hawana mpango wa kuongoza basi at least wafaulishe watoto ili wawe na sifa za kusoma taaluma mbali mbali
Wanafaulisha,na wanasoma,we unavyotaka wawe top ten,top ten wawe tu hao wanafanya magumashi,wao wanafanya biashara ya elimu,wale wanaelimisha jamii
 
According to Dr. Rodney,dvt has many sided process,culture being part of it.

Why Africa is backward in dvt is a long question to answer,briefly the following are the reasons;

...Poor governance,poor gvt policies,corruption,introduction of arabic culture into Africa which perpetuate laziness,jihads,terrorism and what have u...
Nimeshakupiga block wewe mpuuzi, yaani umeniharibia mood yangu na siku yangu yote aisee mpaka najihisi mwili unatetemeka, pumzi zinakata na kichwa kinauma mpaka my girlfriend anadhani naumwa.

Ulaaniwe milele wewe na hizo laana zako, mpuuzi kabisa.
 
Wanafaulisha,na wanasoma,we unavyotaka wawe top ten,top ten wawe tu hao wanafanya magumashi,wao wanafanya biashara ya elimu,wale wanaelimisha jamii
Wakati niko O'level mwalimu wetu wa lugha ya Kilatini alituambia, "sons don't be satisfied with the minimum".
Anyway, kila mmoja ana malengo yake. Wengine ni kama hao kupata just the least pass marks na wengine tulilelewa katika utamaduni wa kuhakikisha we use our potentials to the fullest for the maximum scores.
 
Nimeshakupiga block wewe mpuuzi, yaani umeniharibia mood yangu na siku yangu yote aisee mpaka najihisi mwili unatetemeka, pumzi zinakata na kichwa kinauma mpaka my girlfriend anadhani naumwa.

Ulaaniwe milele wewe na hizo laana zako, mpuuzi kabisa.
Pole mkuu, uncivilized persons are everywhere. Huyu ni mmoja wapo ya watu wa aina hiyo.
Sijui wanapata faida gani kukashifu imani za wengine. Sidhani kama hata upagani unafundisha huu ubaguzi
 
Pole mkuu, uncivilized persons are everywhere. Huyu ni mmoja wapo ya watu wa aina hiyo.
Sijui wanapata faida gani kukashifu imani za wengine. Sidhani kama hata upagani unafundisha huu ubaguzi
Mkuu sio kwamba mimi nimekasirika sababu kakashifu imani yangu, hapana. sababu haya mambo mimi nachukuliaga kama challenges tu.
Bali huyo mpuuzi ni wale viumbe wa upinde wa mvua.
 
Wakati niko O'level mwalimu wetu wa lugha ya Kilatini alituambia, "sons don't be satisfied with the minimum".
Anyway, kila mmoja ana malengo yake. Wengine ni kama hao kupata just the least pass marks na wengine tulilelewa katika utamaduni wa kuhakikisha we use our potentials to the fullest for the maximum scores.
There's nothing in Tanzanian education...waliopata one na four hawana tofauti yoyote ukiwawka uwahoji,hao wa one Wana uhodari wa kujibu Kama anavyotaka muuliza swali
 
Nimeshakupiga block wewe mpuuzi, yaani umeniharibia mood yangu na siku yangu yote aisee mpaka najihisi mwili unatetemeka, pumzi zinakata na kichwa kinauma mpaka my girlfriend anadhani naumwa.

Ulaaniwe milele wewe na hizo laana zako, mpuuzi kabisa
πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
You've even changed the language eeh!

Sings of being defeated intellectually. Plz come prepared next time.

Always remember religion is part of culture which may bring significant changes to pple positively(christianity) or negatively(islam) in all affairs notably academic performance.
 
90% ni hasara boss..
Cheers…
Nchi kubwa za dunia ya kwanza ni Mfumo Kristo hadi sasa sijajua why tunapokezana vijiti vya uongozi na hawa wavaa kobazi..
Mkuu simpo tu kama una chuki nao na unaona hamstahili kupokezana nao uongozi si uwahamishe kama vipi. Au waueni mbaki wenyewe. Ukishajiona wew bora kuliko mwenzio kwa perceptions za utofauti wa dini, wew unakua mpuuzi kuliko yeye.

Nina hakika wew mwenye chuki ya kiasi hiki na Waislamu/Uislamu, ungezaliwa Zanzibar au maeneo hayo unayotaja na wew ungekua Muislamu pia. Ndio maana mijadala wa tofauti za imani wa ipi bora ni relative na haitakuwa hata siku moja watu wakaamini sawa.
Utofauti wa kila kitu duniani ndio umeleta maana halisi ya maisha. Wewe unaowatukana Waislamu, unafanya hivyo kwa vile umezaliwa jamii tofauti. Watu wachache sana wanaamua imani zao baada ya kuwa watu wazima, wengi hurithi toka kwa wazazi na wew ni miongoni mwao. Wazazi wako wangekua Waislamu nawe ungefuata, kwahiyo ni upuuzi kumtusi au kumbagua mtu kwa kigezo cha imani yake. That's a poor unit of analysis.
Acha kashfa mana haitawaondoa hao usiowependa na pia na wao wana haki ya kuongoza taifa hili kama nyie wenye akili!

Mungu akusaidie kubaini utofauti wetu wa kila hali ndio unakamlisha maana ya maisha. Lakin pia hamna namna yoyote Muislamu/Mkristo anaweza mfuta mwenzie katika nchi hii. We will always co-exist, na hamna atakaeshinda akimbagua mwenzie.
 
Umsamehe yeye. Umsamehe sana.

Utakuta hata kitaa hana rafiki wa hiyo dini wala kucheza nao.
Mkuu simpo tu kama una chuki nao na unaona hamstahili kupokezana nao uongozi si uwahamishe kama vipi. Au waueni mbaki wenyewe. Ukishajiona wew bora kuliko mwenzio kwa perceptions za utofauti wa dini, wew unakua mpuuzi kuliko yeye.

Nina hakika wew mwenye chuki ya kiasi hiki na Waislamu/Uislamu, ungezaliwa Zanzibar au maeneo hayo unayotaja na wew ungekua Muislamu pia. Ndio maana mijadala wa tofauti za imani wa ipi bora ni relative na haitakuwa hata siku moja watu wakaamini sawa.
Utofauti wa kila kitu duniani ndio umeleta maana halisi ya maisha. Wewe unaowatukana Waislamu, unafanya hivyo kwa vile umezaliwa jamii tofauti. Watu wachache sana wanaamua imani zao baada ya kuwa watu wazima, wengi hurithi toka kwa wazazi.
Acha kashfa mana haitawaondoa hao usiowependa na pia na wao wana haki ya kuongoza taifa hili kama nyie wenye akili!

Mungu akusaidie kubaini utofauti wetu wa kila hali ndio unakamlisha maana ya maisha. Lakin pia hamna namna yoyote Muislamu/Mkristo anaweza mfuta mwenzie katika nchi hii. We will always co-exist, na hamna atakaeshinda akimbagua mwenzie.
 
There's nothing in Tanzanian education...waliopata one na four hawana tofauti yoyote ukiwawka uwahoji,hao wa one Wana uhodari wa kujibu Kama anavyotaka muuliza swali
Sawa mkuu nimekuelewa....
Let me agree with you kuwa aliyepata four yuko sawa na aliyepata one πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
usiwe na wasiwasi hawa mnakutana nao UDOM UDSM IFM nk hawana jipya zaidi ya kingereza
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom