MSAADA: Utoaji

nzalendo

JF-Expert Member
May 26, 2009
10,684
9,863
Naomba kufahamishwa
Maana ya,:-1. Sadaka
2. Dhabihu
3. Zaka
4.Shukran
5.Msaada
6.Takrima
7.Asante
8.Hongo
9.Nyongeza
10.FUNGU LA KUMI
 
Naomba kufahamishwa
Maana ya,:-1. Sadaka
2. Dhabihu
3. Zaka
4.Shukran
5.Msaada
6.Takrima
7.Asante
8.Hongo
9.Nyongeza
10.FUNGU LA KUMI
Nilikuwa natafakari ile ya kwetu wanywaji tunayopeana, ofa. Kumbe ilitoka kwenye kiingereza neno offer maana yake ni sadaka, sasa imagine mnakunywa unamwita mhudumu njoo mletee huyu sadaka ya bia mbili ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣, utapigwa chupa za uso, kumbe uko sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom