MSAADA: Utoaji

MSAADA: Utoaji

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,871
Reaction score
14,563
Naomba kufahamishwa
Maana ya,:-1. Sadaka
2. Dhabihu
3. Zaka
4.Shukran
5.Msaada
6.Takrima
7.Asante
8.Hongo
9.Nyongeza
10.FUNGU LA KUMI
 
Naomba kufahamishwa
Maana ya,:-1. Sadaka
2. Dhabihu
3. Zaka
4.Shukran
5.Msaada
6.Takrima
7.Asante
8.Hongo
9.Nyongeza
10.FUNGU LA KUMI
Nilikuwa natafakari ile ya kwetu wanywaji tunayopeana, ofa. Kumbe ilitoka kwenye kiingereza neno offer maana yake ni sadaka, sasa imagine mnakunywa unamwita mhudumu njoo mletee huyu sadaka ya bia mbili ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣, utapigwa chupa za uso, kumbe uko sahihi
 
Back
Top Bottom