Nilikuwa natafakari ile ya kwetu wanywaji tunayopeana, ofa. Kumbe ilitoka kwenye kiingereza neno offer maana yake ni sadaka, sasa imagine mnakunywa unamwita mhudumu njoo mletee huyu sadaka ya bia mbili ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣, utapigwa chupa za uso, kumbe uko sahihiNaomba kufahamishwa
Maana ya,:-1. Sadaka
2. Dhabihu
3. Zaka
4.Shukran
5.Msaada
6.Takrima
7.Asante
8.Hongo
9.Nyongeza
10.FUNGU LA KUMI