ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,812
Kwa Mujibu wa TCRA,Mikoa 10 inayoongiza Kwa kuwa na Visimbuzi vingi Kwa Tanzania Bara ni kama ifuatavyo.
1.Dar
2.Arusha
3.Mwanza
4.Mbeya
5.Dodoma
6.Morogoro
7.Kilimanjaro
8.Tanga
9.Kagera
10.Mara
Mikoa ya Songwe na Manyara ya mwisho kabisa Kwa watu wake Kushindwa Kumiliki TV.
1.Dar
2.Arusha
3.Mwanza
4.Mbeya
5.Dodoma
6.Morogoro
7.Kilimanjaro
8.Tanga
9.Kagera
10.Mara
Mikoa ya Songwe na Manyara ya mwisho kabisa Kwa watu wake Kushindwa Kumiliki TV.