totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,391
Milioni 70 ada tu kwa mwaka kwa miaka Sita hadi form Six na matumizi mengine ni wastani wa kalibu Tsh. milioni Mia Tano.
Ukichukua na ghalama za Shule ya Chekechea miaka 2 na Msingi miaka 7 inakaribia Tsh Billioni moja
Ndo sababu nimesema iyo ni bln sasa kweli mimi nataka iyo hela asome tu basi? Hiyo hamnaga aisee