Shule hizi zimebaki majina tu

Pongezi ya nini...??

What so special from them to be praised...??

We've to blame them for ruining Tanzania's cream...??

Mtu anaenda boyz na point 3 za comb yake kutoka shule ya kata ya biharamulo yenye headteacher pekee,after two years anarudi na point 18/19/20/21,je kama wewe ni mzazi utasemaje hapo...

Hizo point 18/19/20/21 huwa hazipo tabora boys, Starting from 2011 hazikuwepo, 2012 ikawepo four moja.. Na mistake imetokea mwaka huu napo four zipo ka mbili, but still many of boyzian wanapoint kali tu. tabora boys ndo shule ambayo mwaka 2011 iliingiza wanafunzi wengi bungeni katika matokeo ya form six, na jina likakua. mwaka huu imeshindwa kuingia Top ten kutokana na kuwa mwalimu wa mmoja alifanya yake katika Practical ya chemistry na kusababisha PCM waliokua wamelenga A na B+ kuyumba
 
Hizo point 18/19/20/21 huwa hazipo tabora boys, Starting from 2011 hazikuwepo, 2012 ikawepo four moja.. Na mistake imetokea mwaka huu napo four zipo ka mbili, but still many of boyzian wanapoint kali tu. tabora boys ndo shule ambayo mwaka 2011 iliingiza wanafunzi wengi bungeni katika matokeo ya form six, na jina likakua. mwaka huu imeshindwa kuingia Top ten kutokana na kuwa mwalimu wa mmoja alifanya yake katika Practical ya chemistry na kusababisha PCM waliokua wamelenga A na B+ kuyumba


Boyz hakuna div. 4 & 0..??
2012 kuna zero pale,unakuja huku kudanganya umma..
Kwanini uzungumzie mwaka m1 tu (2011)afu unaisolate miaka mingine...
Boyz sasa hivi imekua kama shule zingine wala haina haja ya kubishana
Niambie;
Kibaha
Ilboru
Mzumbe
Kisimiri...nitakuelewa
 
Wakuu shule kama tosamaganga,ifunda tech,malangali,moshitech,galanos,pugu,weruweru,ashiragals,bwiruboys,bwiru boys,zimepotea kabisa katika taaluma wakuu tatizo ni ni ni? ,shule hizi zinachukua wanafunzi wabovu sana,mazingira mabaya,walimu hakuna au tatizo ni ni ni wakuu sababu hata katika nafasi 30 kitaifa hizi shule hazipo wakuu tatizo ni ni? kuna mjomba wangu kasomea puguboys miaka ya 70 ananiambia pugu ya miaka yao ilikuwa hatari walikuwa wanawazidi mpaka special schools now hichokitu hakipo kimebaki historia
Maskini Ifunda yetu, Seuta D2 1988...Dahhhh
 
Boyz hakuna div. 4 & 0..??
2012 kuna zero pale,unakuja huku kudanganya umma..
Kwanini uzungumzie mwaka m1 tu (2011)afu unaisolate miaka mingine...
(Boyz sasa hivi imekua kama shule zingine) wala haina haja ya kubishana
Niambie;
Kibaha
Ilboru
Mzumbe
Kisimiri...nitakuelewa

Unakichaa cha mbwa mwitu wewe taboraboys unaifananisha na bukobasec? uliyosomea wewe? ,mwaka 2011 taboraboys ilikuwa na wanafunzi wa3 topten ,na ma t.o wa masomo mengi walikuwepo!! kama taboraboys ni kama shule nyingine ungeenda ofisin kwa mh.daudi abdala kuomba kuhamia kama asingekutukana mpuuzi wewe ,
 
Boyz hakuna div. 4 & 0..??
2012 kuna zero pale,unakuja huku kudanganya umma..
Kwanini uzungumzie mwaka m1 tu (2011)afu unaisolate miaka mingine...
Boyz sasa hivi imekua kama shule zingine wala haina haja ya kubishana
Niambie;
Kibaha
Ilboru
Mzumbe
Kisimiri...nitakuelewa

Sijadanganya mtu but hiyo ziro unayoizungumzia mwaka 2012 ni moja na huyo jamaa aliipata kutokana na sababu zilizo njee ya uwezo wake, Record ya four toka 2011 mpaka leo ni 2 tu na ziro moja.. sasa wewe hizo four unazozizungumzia sijui zinatoka wapi, Na hao unakuta walikua wagonjwa, so far huwezi kucompare boys na Hizo shule ka Kibaha, Ilboru as zina waalimu wa kutosha wanakula chakula kizuri ukilinganisha na boys, wapo sehemu ambayo accomodation ya materials ni kubwa, Mfano wanafunzi wa kibaha kutwa kucha wanapiga mapindi mtaani, Condition za boys zinalimit matokeo lakini bado wanafanya vizuri..
 
Mwaka 2012 , kibaha sec zero zilikuwepo2 four1 ,mzumbe zero1 ,ilboru iv.1
 
Sijadanganya mtu but hiyo ziro unayoizungumzia mwaka 2012 ni moja na huyo jamaa aliipata kutokana na sababu zilizo njee ya uwezo wake, Record ya four toka 2011 mpaka leo ni 2 tu na ziro moja.. sasa wewe hizo four unazozizungumzia sijui zinatoka wapi, Na hao unakuta walikua wagonjwa, so far huwezi kucompare boys na Hizo shule ka Kibaha, Ilboru as zina waalimu wa kutosha wanakula chakula kizuri ukilinganisha na boys, wapo sehemu ambayo accomodation ya materials ni kubwa, Mfano wanafunzi wa kibaha kutwa kucha wanapiga mapindi mtaani, Condition za boys zinalimit matokeo lakini bado wanafanya vizuri..

Umenisaidia mkuu dansel
 
Wakati nakaribishwa Pugu nilikaribisha kwa maana ya jina P-people U - usually G - go U - University...unaunga unga hapo unapata sentence kamili na maana...
Headmaster wangu Sherimo....mzee Poa sana... Hatukua tunawaza kushindana mtu pale ni kwenda chuo ndio tuuu... UDSM pale tukawa tunatereza tuu tushazoea kusoma bila walimu Leo tunashinda na Prof lab.?!!!piga Bsc yangu pale saaafi....mambo ya Special school ujinga ujinga tuu who is Special than the other in this country???!!!
 
Jipe moyo tu special bado zipo kama kawa kwenye chati huko ndio utawakuta watoto wenye vipaji kipekee kiakili vipaji maalumu huko ndio mtu anapiga A kumi straight kama kina mnyika,kina ngaimisi,kina sunday dominic wakati shule zenu hata log 2 au log 3 mpaka uwe na 4figures ndo unajua wakati hzo by default inabid zikae kichwani kama pie 3.14 au 22/7 Jipange vipaji maalumu miaka 800
 
Wakati nakaribishwa Pugu nilikaribisha kwa maana ya jina P-people U - usually G - go U - University...unaunga unga hapo unapata sentence kamili na maana...
Headmaster wangu Sherimo....mzee Poa sana... Hatukua tunawaza kushindana mtu pale ni kwenda chuo ndio tuuu... UDSM pale tukawa tunatereza tuu tushazoea kusoma bila walimu Leo tunashinda na Prof lab.?!!!piga Bsc yangu pale saaafi....mambo ya Special school ujinga ujinga tuu who is Special than the other in this country???!!!
watu waliokosa nafasi ya kusoma special utawajua tu
 
Unakichaa cha mbwa mwitu wewe taboraboys unaifananisha na bukobasec? uliyosomea wewe? ,mwaka 2011 taboraboys ilikuwa na wanafunzi wa3 topten ,na ma t.o wa masomo mengi walikuwepo!! kama taboraboys ni kama shule nyingine ungeenda ofisin kwa mh.daudi abdala kuomba kuhamia kama asingekutukana mpuuzi wewe ,

siko kwenye mabishano ila kaka hapa umedanganya TO 2011 alitoka KIBAHA BOYS SPECIAL SCHOOL baada ya kijana MWAGACHI CHACHA Kutikisa kichwa na TO WA PCB alitoka pale kibaha,TO wa CBA Na ECA pia walitoka pale na wote waliingia bungeni, weka marian na feza na Mzumbe utakuta tabora kuna mtu kama 1, IMEBAKI JINA TU. Bora ukubali.
 
siko kwenye mabishano ila kaka hapa umedanganya TO 2011 alitoka KIBAHA BOYS SPECIAL SCHOOL baada ya kijana MWAGACHI CHACHA Kutikisa kichwa na TO WA PCB alitoka pale kibaha,TO wa CBA Na ECA pia walitoka pale na wote waliingia bungeni, weka marian na feza na Mzumbe utakuta tabora kuna mtu kama 1, IMEBAKI JINA TU. Bora ukubali.

Acha ujinga wewe mimi nimesemj kwamba taboraboys iliingiza wanafunzi watatu kwenye topten ya taifa
 
Tabora boys haikuingiza mtu top ten,Brightorn Lema alipewa special recognition kwa kusoma kata o-level na kuwa na ufaulu mzuri 1.5,,,.

Hujielewi wewe ni mwaka 2011 ,taborboys kulikuwa na one za tatu(i.3) nne ,KIBAHA I.3 ilikuwa 1 , ilboru hakukuwa na i.3 mwaka 2011 ,kisimiri nako hakukuwa na i.3 mwaka 2011 umenipa mbuzi wewe
 
Kisimiri ndo talk of the town sa hivi kwa special schools,,nataka kuongelea bwiru boys tech,ifunda tech na moshi tech,,huwa napata muda wa kuongea na vijana wa hizi shule na wanamalalamiko mengi kuhusu masomo ya ufundi,kama tujuavyo haya masomo yana changamoto sasa kwenye hizi shule walimu wengi wamestaafu na waliobakia ni wazee na efficiency yao ndogo,,pia tokea zifutwe na kurudishwa karakana na vitabu vilipoteza dira kwani vitu viliibwa,,hivyo basi naiomba wizara ya elimu iangalie hili swala kwani wengi wao wameanza kuchukia ufundi na kuona bora waende a-level kutokana na magumashi ya huko,,,
Dah mkuu umeongea kweli kabisa

Nimesoma Bwiru boys o level yaani mambo ni tofauti kabisa na yalivyo kwa sasa, Miaka hiyo tulikua tunaingia top 20 kila mwaka na kwa masomo kama basic na additional mathematics tulikua tunaongoza kila mwaka ila kwa sasa hamna kitu, shule inakua ya 400 mpaka 600 huko na sometimes wani ni za manati sana, yaani zimebaki majina kwa kweli aiseee
 
Hivi ni mwanafunzi gani toka hizo shule mnazoita spesho alishafanya kitu tofauti na muhimu "innovation " za ukweli hapa bongo, zaidi ya kusoma na kupata vyeti Kwa ajiri ya kuendeleza system zilizowekwa na kuendelea kupewa msaada mkubwa wa material na mawazo ya kizungu .... au hao vipaji maana yake ni kupiga msuli na kufaulu sana? Me nilisoma mojawapo ya hizo shule A level lakini sikuona la maana zaidi ya kukesha na kukariri ... hivi mnajua maana ya elimu? Au walikuwa na vipaji gani labda, kuimba, boli, au nn?? Genious wa kukariri sio genious, refer Kwa Watu kama kina Newton, Einstein, billgates, Mandela, siku hizi kuna ma genious wa soccer kama messi ... me Kwa Kweli sijaona au labda hii system ya elimu kuwabana watoto wetu kiasi kwamba hawawezi kuleta mawazo tofauti!! "Mtazamo tu "........
 
Profesa juma kapuya(botanist- aligundua mbegu ya uyoga) , kasomea tbrboys , uliza tena!
 
Mpigamsuli,,,we ni ---- wa ajabu,umesoma shule za ajabu ajabu unajiona nawe mtu.pumbavuu ndo shida ya kujua vitu ukubwani.,wenzio wanapanga kuchukua Bsc zao M.I.T unabaki na blah blah nyingi ka mtu aliyetoka shamba,,kweli maskini akipata ------ hulia mbwata,pumbavuuu
 
we unafikiri elimu inaporomoka kwenye shule za kata tu, hili ni janga la kitaaluma litamkumba yoyote yule awe special au mtumba.
 
Back
Top Bottom