Shule hizi zimebaki majina tu

Shule hizi zimebaki majina tu

we unafikiri elimu inaporomoka kwenye shule za kata tu, hili ni janga la kitaaluma litamkumba yoyote yule awe special au mtumba.

Hahaha shule za mitumba ndio zipi
 
kufeli kwako la7 na form4 kusiwe kero jutia ubongo wako kuwa wa panzi,Aisee dogo jiheshimu aisee unajua division wanazochukua pale?? i.12 mwisho ,la7 wanchukua magenous ,wewe mwenyewe ulikuwa unaenda kufundishwa pale
Mkuu mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea hoja zako, kulikoni?
 
Unakichaa cha mbwa mwitu wewe taboraboys unaifananisha na bukobasec? uliyosomea wewe? ,mwaka 2011 taboraboys ilikuwa na wanafunzi wa3 topten ,na ma t.o wa masomo mengi walikuwepo!! kama taboraboys ni kama shule nyingine ungeenda ofisin kwa mh.daudi abdala kuomba kuhamia kama asingekutukana mpuuzi wewe ,

Dogo huwez kuchangia humu mpaka kutukana?nafikiri ungejibu hoja na kumshawishi anayekupinga bila kutumia Lugha kali,niwie radhi,but unachofanya sio ustaarabu hata kidogo!
 
Dogo huwez kuchangia humu mpaka kutukana?nafikiri ungejibu hoja na kumshawishi anayekupinga bila kutumia Lugha kali,niwie radhi,but unachofanya sio ustaarabu hata kidogo!

Leo Kapakatwa Mchana Kweupeeeeeee.....
 
Hata wanasiasa wanachangia kuziua hizi shule ili wao kwa kuwa wanamilki shule binafsi zipate wateja kwa kigezo cha kufaulisha. Lakini pamoja na kwamba ziko hoi ICU shule hizi kongwe zina changamoto kidogo kuliko zite za kata na tarafa. Miundombinu bora inazibeba, pia zinawalimu wengi hasa wa sanaa japo ufundishaji uko chini kwa sababu ya sababu.
 
Ifunda technical enzi hizo ikiwa inafanya vizuri, wanafunzi walikuwa wanasomea msituni, baadae hasa miaka ya 2006 na kuendelea, wakakatazwa kusomea msituni........
 
Hujielewi wewe ni mwaka 2011 ,taborboys kulikuwa na one za tatu(i.3) nne ,KIBAHA I.3 ilikuwa 1 , ilboru hakukuwa na i.3 mwaka 2011 ,kisimiri nako hakukuwa na i.3 mwaka 2011 umenipa mbuzi wewe

Kijana, unaweza kuwa na one za 3 kumi lakn ukazidıwa na mwenye moja kwenye top ten.Fahamu point3 zinakuwa nyingi na hapo wanatafuta average ya actual marks na sı grade.Mathalani wote mna A's lakini A's hazıfananı.Una point 3 kumi ila wote wana A's za 80,ninaye mmoja ana A's za 97.
 
Hivi ni mwanafunzi gani toka hizo shule mnazoita spesho alishafanya kitu tofauti na muhimu "innovation " za ukweli hapa bongo, zaidi ya kusoma na kupata vyeti Kwa ajiri ya kuendeleza system zilizowekwa na kuendelea kupewa msaada mkubwa wa material na mawazo ya kizungu .... au hao vipaji maana yake ni kupiga msuli na kufaulu sana? Me nilisoma mojawapo ya hizo shule A level lakini sikuona la maana zaidi ya kukesha na kukariri ... hivi mnajua maana ya elimu? Au walikuwa na vipaji gani labda, kuimba, boli, au nn?? Genious wa kukariri sio genious, refer Kwa Watu kama kina Newton, Einstein, billgates, Mandela, siku hizi kuna ma genious wa soccer kama messi ... me Kwa Kweli sijaona au labda hii system ya elimu kuwabana watoto wetu kiasi kwamba hawawezi kuleta mawazo tofauti!! "Mtazamo tu "........

Mkuu hilo swali ulilouliza mwishoni jibu lake ni ndio...kumbuka wazungu waliiasisi elimu ya namna hii kwa waafrika na kublock innovation kwny mind zetu

Wa are still stick kwny white collar job..tulifaulu vizuri kwa kusoma na kukariri pamoja na kuelewa kiasi ili tuajiriwe maofisini.Hili linazidi kuturudisha nyuma mkuu.

Jaribu kutrace back the beginning of Bill gates na Steve jobs innovations,hawa jamaa hata hawakuwa wazuri kwenye elimu ya darasani.
 
Zitarudi kwenye chat tu....Hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom