Shule hizi zimebaki majina tu

Shule hizi zimebaki majina tu

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
584
Wakuu shule kama tosamaganga,ifunda tech,malangali,moshitech,galanos,pugu,weruweru,ashiragals,bwiruboys,bwiru boys,zimepotea kabisa katika taaluma wakuu tatizo ni ni ni? ,shule hizi zinachukua wanafunzi wabovu sana,mazingira mabaya,walimu hakuna au tatizo ni ni ni wakuu sababu hata katika nafasi 30 kitaifa hizi shule hazipo wakuu tatizo ni ni? kuna mjomba wangu kasomea puguboys miaka ya 70 ananiambia pugu ya miaka yao ilikuwa hatari walikuwa wanawazidi mpaka special schools now hichokitu hakipo kimebaki historia
 
Umesahau Tabora boy...

Haina hadhi ya uspesho schoo any more...
 
Umesahau Tabora boy...

Haina hadhi ya uspesho schoo any more...

Wewe ndezi kweli ,kilaza kabisa yaani kwa mtihani wenu ulivyokuwa rahisi ukashindwa kupata point 4 wewe ni mzembe ,uspecial upo pale hamna ndezi
 
Umesahau Tabora boy...

Haina hadhi ya uspesho schoo any more...

Tabora boys still ipo Hot.. na kwa jinsi madogo wanavyokomaa pale wanyewe bila walimu, Na mazingira ya pale yalivyo wanahitaji pongezi,
 
Wewe ndezi kweli ,kilaza kabisa yaani kwa mtihani wenu ulivyokuwa rahisi ukashindwa kupata point 4 wewe ni mzembe ,uspecial upo pale hamna ndezi

mpigamsuli....

Najua unaisafisha your fvckin' old school....

Kila kitu na msimu wake ndg.
Wapi uliona wagelzia wanawatawaza waboyzia,ndicho kilichotokea msimu huu..

Wapi uliona kilax inawakojolea boyz,ndicho kilichotokea last year....

Boyz kila siku inashuka,hebu cheki hali ya o'level pale,uozo mtupu...
DULA kashindwa kazi,hana jipya tena....
 
Last edited by a moderator:
Tabora boys still ipo Hot.. na kwa jinsi madogo wanavyokomaa pale wanyewe bila walimu, Na mazingira ya pale yalivyo wanahitaji pongezi,


Pongezi ya nini...??

What so special from them to be praised...??

We've to blame them for ruining Tanzania's cream...??

Mtu anaenda boyz na point 3 za comb yake kutoka shule ya kata ya biharamulo yenye headteacher pekee,after two years anarudi na point 18/19/20/21,je kama wewe ni mzazi utasemaje hapo...
 
mpigamsuli....

Najua unaisafisha your fvckin' old school....

Kila kitu na msimu wake ndg.
Wapi uliona wagelzia wanawatawaza waboyzia,ndicho kilichotokea msimu huu..

Wapi uliona kilax inawakojolea boyz,ndicho kilichotokea last year....

Boyz kila siku inashuka,hebu cheki hali ya o'level pale,uozo mtupu...
DULA kashindwa kazi,hana jipya tena....
kufeli kwako la7 na form4 kusiwe kero jutia ubongo wako kuwa wa panzi,
Aisee dogo jiheshimu aisee unajua division wanazochukua pale?? i.12 mwisho ,la7 wanchukua magenous ,wewe mwenyewe ulikuwa unaenda kufundishwa pale
 
Last edited by a moderator:
Pongezi ya nini...??

What so special from them to be praised...??

We've to blame them for ruining Tanzania's cream...??

Mtu anaenda boyz na point 3 za comb yake kutoka shule ya kata ya biharamulo yenye headteacher pekee,after two years anarudi na point 18/19/20/21,je kama wewe ni mzazi utasemaje hapo...

Mshenzi wewe yani iv. pale kwa advance hazizidi mbili mjinga kabisa wewe mbona unawivu sana? ungefaulu basi form4
 
Mjomba alikudanganya.
Miaka ya 70 kulikuwa na special school? Idea ya special school ilianza 1993 bwana!

kuna mjomba wangu kasomea puguboys miaka ya 70 ananiambia pugu ya miaka yao ilikuwa hatari walikuwa wanawazidi mpaka special schools now hichokitu hakipo kimebaki historia


Hizi shule haziwezi kufanya vizuri. Wanafunzi wa mulugo hawabebeki, na mambo ya kurudia kusahihisha na kupandisha madaraja ndio yanaathiri kabisaa maendeleo. Waalimu wako demotivated na shile zimechakaa hadi ukipita huko unaona kama uko kwenye haunted place.
 
Sahivi hamna cha shule ya kipaji wala nn,,kipaji kipo kichwani mwa m2 mwenyewe,,,,,shule nying zimabaki magofu 2 bhaas,,Tatizo hamna mwamko wowote kutoka ka wazazi wengi na watoto ndo haswaa,,,waziri wa elimu na Mulugo wake ni zero +sifuri,,,ssa watoto ndo itakuwaje cjui,,,,,kwanza uliza kati ya wema kati ya Diamond na Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi nani anajulikana,,ndo upate jibu watoto wamelalia wapi,,,,so shule popote siku hizi,,unatia zako michano kivyako unatambaa
 
Kisimiri ndo talk of the town sa hivi kwa special schools,,nataka kuongelea bwiru boys tech,ifunda tech na moshi tech,,huwa napata muda wa kuongea na vijana wa hizi shule na wanamalalamiko mengi kuhusu masomo ya ufundi,kama tujuavyo haya masomo yana changamoto sasa kwenye hizi shule walimu wengi wamestaafu na waliobakia ni wazee na efficiency yao ndogo,,pia tokea zifutwe na kurudishwa karakana na vitabu vilipoteza dira kwani vitu viliibwa,,hivyo basi naiomba wizara ya elimu iangalie hili swala kwani wengi wao wameanza kuchukia ufundi na kuona bora waende a-level kutokana na magumashi ya huko,,,
 
Wakuu shule kama tosamaganga,ifunda tech,malangali,moshitech,galanos,pugu,weruweru,ashiragals,bwiruboys,bwiru boys,zimepotea kabisa katika taaluma wakuu tatizo ni ni ni? ,shule hizi zinachukua wanafunzi wabovu sana,mazingira mabaya,walimu hakuna au tatizo ni ni ni wakuu sababu hata katika nafasi 30 kitaifa hizi shule hazipo wakuu tatizo ni ni? kuna mjomba wangu kasomea puguboys miaka ya 70 ananiambia pugu ya miaka yao ilikuwa hatari walikuwa wanawazidi mpaka special schools now hichokitu hakipo kimebaki historia

special school miaka ya 70? unazijua shule bora miaka iyo ?usiwe unameza kila unachoambiwa hoji kwa undani ili uelewe.
 
Mshenzi wewe yani iv. pale kwa advance hazizidi mbili mjinga kabisa wewe mbona unawivu sana? ungefaulu basi form4

tatizo lako unadhani we tu ndio ulisoma tabora boys na kuijua kwa undani ,tulia dogo unyolewe,wakongwe wa tabora boys wapo wametulia.
 
Mshenzi wewe yani iv. pale kwa advance hazizidi mbili mjinga kabisa wewe mbona unawivu sana? ungefaulu basi form4

mpigamsuli.....

Kwenye matusi ndipo unaponikera,raise up constructive perspective,tuvute mkeka tujadili...

Madani....
Unaposema advance hazizidi point mbili,sikuelewi...what I know ni kwamba wanapokea mwisho point 4 ie:AAB...
Lakini hii ni kwa pcb&pcm lakini kwa HGL hata wenye div. 3 wanapojekewa ......
 
Last edited by a moderator:
kufeli kwako la7 na form4 kusiwe kero jutia ubongo wako kuwa wa panzi,
Aisee dogo jiheshimu aisee unajua division wanazochukua pale?? i.12 mwisho ,la7 wanchukua magenous ,wewe mwenyewe ulikuwa unaenda kufundishwa pale


Jaribu kufungua mawazo yako,sio kushabikia tu bila facts zozote.....
Hivi unamaanisha nini unaposema kuwa wanachukua magenious...??does that prove kuwa hiyo ni shule nzuri...??

Hebu niambie vizuri
Je huyo genious kazalishwa na TBR boys ama shule alikotokea....??
Je huyo genious akitoka hapo boys kadunda,utamlaumu yeye ama shule...??
Je kama huyo genious aliyetoka shule ya kata ya kinyantira,kamaintain ugenious wake,utasema TBR boys ndio umemfikisha huko....??
 
Mkuu wimbo wa matatizo ya elimu haujabadilika. Shule hazina walimu wachache waliopo wamekata tamaa, vitabu hakuna, wazazi hawaonyeshi ushirikiano, wanafunzi wengi wanamisingi mibovu.

Serikali imeipa kisogo sekta ya elimu. Katika mazingira haya usitegemee maajabu.
 
special school miaka ya 70? unazijua shule bora miaka iyo ?usiwe unameza kila unachoambiwa hoji kwa undani ili uelewe.

moes hata kama Tabora boys haikuitwa special miaka ya 70 ukweli unabaki kuwa ilikuwa shule bora Tanzania ambayo watoto wa machief ndo walisoma nilianza kuielewa vizuri boys miaka ya 80 ambapo ilikuwa ikichukua mwanafunzi wa kwanza kila wilaya ikichukua mpaka wanafunzi toka Zanzibar,na A level ikichukua wanafunzi bora zaidi,na wengi waliosoma Olevel pale waliofanya vizuri walirudishwa palepale Alevel.

Labda tuongelee miaka ya karibuni kama haifanyi vizuri, lakini nyani mzee kama huyu huwezi kumjudge kwa result ya miaka 2 tu.Shule nyingi za sasa zinapata umaarufu baada ya kuiba mitihani lakini wasipoiba miaka 2 mfululizo wanapotea kabisa lakini Tabora school mwendo mdundo toka enzi za mkoloni.
 
mpigamsuli.....

Kwenye matusi ndipo unaponikera,raise up constructive perspective,tuvute mkeka tujadili...

Madani....
Unaposema advance hazizidi point mbili,sikuelewi...what I know ni kwamba wanapokea mwisho point 4 ie:AAB...
Lakini hii ni kwa pcb&pcm lakini kwa HGL hata wenye div. 3 wanapojekewa ......

Mkuu limit ya point hutegemea na matokeo ya mwaka huo mfano mwaka huu huwezi niambia kuna shule itang`ang`ana na point hizo wakati matokeo ni mabovu mno. Ila kwa kweli matusi ni kitu ya kukemea kwa kila muungwana.
 
Back
Top Bottom