Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,013
Mkuu milioni 60 ni kama tudora twa Marekani erufu 30 tu! Ni Hera ya mbogaa tu hiyo!internationala school hiyo na wanalipa kwa dola ..
Mkuu milioni 60 ni kama tudora twa Marekani erufu 30 tu! Ni Hera ya mbogaa tu hiyo!internationala school hiyo na wanalipa kwa dola ..
Sasa kama unalipa milioni 18+ halafu huna ada ya mafunzo utakuwa mjinga.IST pale Upanga unalipa michango ya ziada + ela za form kama milioni 18+ na bado mtoto wako haruhusiwi kuingia darasani (kama hujalipa ada yenyewe ya mafunzo)
Si unajua miaka ileee,. Ngararimo na shiro ndio mkate, chai yenyewe hadi uunguze sukari.hee ulisoma juu ya paa la home kwenu ama wapi?
tena hera ndogo sanaMkuu milioni 60 ni kama tudora twa Marekani erufu 30 tu! Ni Hera ya mbogaa tu hiyo!
Neno kuntuhawa watu wamekosa kazi za kufnaya. Hv kutwa kuingilia maisha ya watu. Kama wewe huwezi kumpeleka mtoto wako shule fulani kaa kimya.
naheshimu maoni yako mkuuhata kama zinatumia mitaala ya hapa bado hakuna ulazima wa kuwa na ada elekezi
nitawapigiaaaaaa siweli sister wazandiki tu haoni kweliiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mil 60 si unajenga nyumba kabisa. Watu wanachezea hela aisee
Kabisa hii ndio hoja serikari inayoikimbia siku zote kwenye kuporomoka kwa elimu na kila mara wakiibuka kwenye issue za elimu ni kuja na visingizio tu kila uchao vya kutafuta wachawi na mambo yasiyo wahusu wazazi wanaotumia public schools.Mleta uzi au mwandishi wa makala hii kwenye gazeti anapiga porojo tu. Kwanza, Watanzania wote hatulingani kwa kipato. Ndio maana tunatofautiana kwenye umiliki wa magari, nyumba, matumizi ya chakula na vinywaji, nk.
Kwa kumbukumbu ndogo, tangu miaka ya 60 hadi kufikia 80 kama siyo 90, shule binafsi zilikuwepo lakini shule bora zilikuwa za serikali. Ndiyo sababu wakati huo hata watoto wa vigogo wa Kiafrika walikuwa wanasoma shule hizo. Wengi wa waliokuwa na uwezo mdogo ndio walikuwa wanaomba nafasi shule za binafsi hasa ngazi ya sekondari. Wahindi wamekuwa na shule zao kwa sababu ya matabaka yaliyotengenezwa na mkoloni mwingereza kwa sababu zao. Wasilaumiwe. Tunachotakiwa kufanya sasa kama taifa ni kurejsha ubora wa shule za serikali badala ya kupoteza muda na nguvu nyingi kufukuzana na shule binafsi. Ubora wa elimu ya vijana wetu ndilo suala la msingi.
peleka mtoto wako kwenye shule utakayomudu kuilipia.