Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,384
- 4,355
Ila Msisahau kulalama na kwanin Range Rover Vogue inauzwa ghali sana compared to Starlet ilihali zote ni kwa ajili ya usafiri!
Ah! sasa IST mbona inajulikana kitambo sana ... kwanza hata syllabus yake si ya Tanzania ... watoto wa mabalozi na wafanyakazi toka nje ya mipaka yaetu ambao wapo tanzania kikazi ndio wanasoma pale..... idadi kubwa ya wanafunzi ni raia wa kigeni....
mi nadhani ada elekezi iwe kwa shule zinazotumia mitaala yetu tu! .. hizi zinazotumia mitaala ya kimataifa achaneni nazo...
umejuaje yatakuwa ni maamzi ya kijinga? wewe nimekuambia nenda tu kajiuze. maana hilo ndo utakaloliweza na akili zako kama mavi.umenena vema, na ninadhani wazazi huwapeleka watoto kwa ridhaa yao wenyewe bila kulazimishwa, kila mtu anampeleka mtoto shule inayolingana na uwezo wake, hata mimi ningekua nazo mwanangu angesoma hukohuko na watoto wa mabalozi
hii serikali ijifikirie mara mbili kabla ya kuamua maamuzi yake ya kijinga
Vidole havilinganiMil 60 si unajenga nyumba kabisa. Watu wanachezea hela aisee
umejuaje yatakuwa ni maamzi ya kijinga? wewe nimekuambia nenda tu kajiuze. maana hilo ndo utakaloliweza na akili zako kama mavi.
Mwanamke makini na mwenye weledi..Maana ya neno "ndalichako" ni nini kwa wenye wenye lugha yao?
sijakutukana ila nimekupa sifa zako unazostahiki. kaendelee kujiuza.maneno yako tu yananidhihirishia upeo wako, andika hoja sio matusi, kama wewe profession yako ni kujiuza usidhani kila mtu anafanya hivyo
anyways, pole kwa ugumu wa maisha, hasira zako usizilete hapa jukwaani, humu watu wanabishan kwa hoja tu, jiongeze ndugu