Shule Bora 15 Tanzania toka Uhuru

Shule Bora 15 Tanzania toka Uhuru

Ina maana Umbwe Sekondari iliyokuwa inapambana na seminari miaka hiyo aikizi vigezo vyako. Sijui imewezakana vipi ile shule kufa lazima watakuwa walimu tu.

Umbwe ni mti safi wa matunda mema...........
Mola wabariki walimu wetu pia na wazazi wetu dah nikikumbuka hewa safi dah natamani kukimbia huku dar
 
Mola wabariki walimu wetu pia na wazazi wetu dah nikikumbuka hewa safi dah natamani kukimbia huku dar
Mandhari ya ile shule kwa kweli ilikuwa nzuri sana kama ingekuwa inafanyiwa maintance ndio ingekuwa na mazingira bora zaidi; culture ya wanafunzi kupenda kusoma ata pale walimu walipokosa, umeme usiku hakuna au chakula cha utata asilimia kubwa walikumbuka nini kimewapeleka pale. Itakuwa wameifanyia hujuma sana over the years mpaka leo imepoteza popularity.
 
Mandhari ya ile kwa kweli ilikuwa nzuri sana; culture ya wanafunzi kupenda kusoma ata pale walimu walipokosa au chakula cha utata asilimia kubwa walikumbuka nini kimewapeleka pale. Itakuwa wameifanyia hujuma sana over the years mpaka leo imepoteza popularity.
Dah
 
Imebaki historia kama Man U ya Ferguson.

Sasa hivi kuna kina;
1. Kaizarage
2. St. Francis
3. Marian
4. Feza
5. Cannosa
6. Aliance nk
Kwa upande wa A-level bado zinafanya vizuri tu ...huwa hazionekani kuwa juu kutokana na vigezo na masharti vinavyotumika kupanga nafasi ya shule kitaifa
 
Pamoja na list hiyo kuna Weruweru girls, Ihungo na hata Sesesco (Sengerema). Hizi shule hazikukosa 10 bora ktk matokeo.
 
O level nimesoma shule moja wapo tajwa hapo juu na A level pia... Kumbe nimebahatika kusoma kwenye shule bora nchini?
Ila menyu mkuu. Menyu ya shule za serikali ni mbovu balaa...
 
espy njoo huku mbona hawajaiweka ifakara yetu a.k.a machipi. inamaana sisi tulisoma shule ya vilaza
 
Viongozi hawa hawa walioshindwa hata kununua vitanda vya wagonjwa na madawati ya watoto?
Ndio hao hao wengi wao walitoka hizo shule 15 bora!Zinapaswa kujitathmini kama kweli ni bora kwa product zao chafu zilizotufikisha hapa
 
Ni maajabu ya wadanganyika kumi bora kuwemo Jangwani Girls kukosekana Azania sec
 
Ifoza eti wameitosa!!! Shule bora kabisa ile.
Halafu kipindi kile nakuandikia barua shule huku nachora na kopa kubwa na kukupa ahadi kede kede bae unakumbuka? tumetoka mbali sana ujuee !
 
Hizi ndio shule bora Tanzania.

1.Mzumbe
2.Ilboru
3.Kibaha
4. Tabora Boys & Girls
5. Kilakala
6. Msalato
7. Milambo
8.Tosamaganga
9. Iyunga Tech
10.Ifunda Tech
11. Usagara
12. Pugu
13.Tambaza
14. Jangwani
15. Songea Boys
kama shule yako haiku hapa jua umesoma shule ya kata..ova
 
Kwiro boys..it was just amaizing..never compare
 
Back
Top Bottom