yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,906
Sio kufaulisha. Hizo shule ndio zimetoa wasomi wa ukweli
Wasomi hao wamefanyia nini Tz
Nini cha maana kimeshafanyika hapo TZ zaidi ya hao so called wasomi kugeukia siasa??
Sio kufaulisha. Hizo shule ndio zimetoa wasomi wa ukweli
haa we donald trump sijui kumbe unajua kiswahili...af uko bongo nini..!list nimeikubali
Hizi ndio shule bora Tanzania.
1.Mzumbe
2.Ilboru
3.Kibaha
4. Tabora Boys & Girls
5. Kilakala
6. Msalato
7. Milambo
8.Tosamaganga
9. Iyunga Tech
10.Ifunda Tech
11. Usagara
12. Pugu
13.Tambaza
14. Jangwani
15. Songea Boys
Wasomi wa ukweli au wanasiasa uchwara?Sio kufaulisha. Hizo shule ndio zimetoa wasomi wa ukweli
Shule bora kama mwandishi anavyoona jamaniHizi ndio shule bora Tanzania.
1.Mzumbe
2.Ilboru
3.Kibaha
4. Tabora Boys & Girls
5. Kilakala
6. Msalato
7. Milambo
8.Tosamaganga
9. Iyunga Tech
10.Ifunda Tech
11. Usagara
12. Pugu
13.Tambaza
14. Jangwani
15. Songea Boys
Ameangalia umriUbora hapo unazingatia vigezo gani?
we sema shule gani kwenye list itoleweIna maana Umbwe Sekondari iliyokuwa inapambana na seminari miaka hiyo aikizi vigezo vyako. Sijui imewezakana vipi ile shule kufa lazima watakuwa walimu tu.
Umbwe ni mti safi wa matunda mema...........
Kati ya Pugu, Tambaza, Jangwani, Tabora boys; hawa miaka hiyo sisi tuko sekondari Umbwe walikuwa awako nayo ligi moja kabisa but then ata Maua seminari siku hizi si isikii kabisa mambo yamebadilika sana.we sema shule gani kwenye list itolewe
Mwenge sec-Singida, dah chama langu la A-levelKaacha shule kama mwenge wakati iliwahi kutoa mwanafunzi bora kitaifa na iliendelea kufanya vizuri.
Daa Umenikumbusha mbali Mwanangu,
Enzi hizo ukifika tu Geti la Mzumbe sec, wanakwambia Tayari una two,
Ukiingia Darasani una ONE.............Mzumbe ni balaaa..........Zongwe mnalikumbuka washikaji???????????????????
Mzumbe+Kilakala=Mzukila mnaikumbuka wadau???????????????
Huku Bana aliekuepo Jamaa moja anaitwa Uncle Bitwale(R.I.P) alikuwa anachekesha sana,.............Tanzania One..Wibonele Mkali wa Physics Tanzania Nzima(R.I.P), Alikuwepo Mwasha R.J Nyayoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo...................Determination.................
If you have gone to this schools, you won't regret in your Life
Kingine Bana umenikumbusha namba 7..........Milambo Wanaume................Wanaumeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!! Eeeeeeeeeeeeee! Mapanga shaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Huku Bana alikuepo Mohamedi Majubwa na Mwingine Njiani..................huku paper ya kwanza na Mwisho ni NECTA...
Rafiki zetu Boys aka mahasimu wetu...............Jamani OSO mpooo??????? Shemeji zetu haoooo..............
Hivi Radio za Tabora Bado zipo?????
Walamboooooooooooo! Walambooooooooooooo!...................Hizo ni sauti za Tabora Boys Mechi kati ya Boys And Wanaume(Milambo).................
Hivi lile tukio la Girls kupigwa na Wanaume(milambo)mnalikumbuka?????????????????????????