Shukuru nimerudi!

nafikiri kiiza umejibu kiupambe zaidi hao washenga watasaidia nini kama wao wawili hawatakubaliana ivi kuna jambo linaanza ivi ivi tu labda kama huyo mtu ni mwehu inawezekana hajalishwa chochote ni kiburi yake mbaya tumetofautiana sana kuna watu stress zao za maisha huwa wanazikabili kwa njia tofauti sasa ni lazima kusoma upo na mtu wa aina gani sio kila mwanaume anyekuja amechelewa ana mwanamke mwingine ingawaje kwa asilimia uwezekano ni mkubwa

Kama nindoa lazima walifikishe kwa washenga na wazazi!!ila ilipofika mme kaishalishwa vyakulishwa mpaka amekuwa hana woga na mkewe na yupo radhi kumtaliki mkewe lamsingi nimke kujifunga kibwebwe nakupigania haki yake!!asitake kushindana kwani mwenzake ameishaona simalikitu hata akiondoka ndiyo maana nakuwa na uthubutu wakusema hivyo!!
 
mnh,hio ndoa imekufa mwambie huyo mama either atafute ustaarabu mwengine au aendelee kukaa kny hio ndoa ya mateso..choice ni yake!,haiwezekani mtu akuweke juu juu masaa yote unahofia yupo wapi,afu akirudi akupe majibu yaliyojaa dharau kuwa ushukuru karudi,to be honest huyo mama hayupo kny kichwa cha mumewe kabisaa...mwanaume anayemheshimu mkewe akiona amekosea kwa kutokurudi nyumbani mapema,hatajaribu kuongezea maumivu kwa kuonyesha kutojali alilofanya....duh.kama anarudi amelewa i can understand haya majibu....ila km anarudi yuko sober.....haya majibu hayavumiliki kwa kweli......na saa nyengine sio lazima umkute mumeo na nyumba ndogo ndio uamini mumeo anatoka nje ya ndoa....dont be soo dumb soma alama za nyakati!
 
hapo hunamwamme ni bora ukabeba virago vyako na kuondoka.mmwhhheeeeeeeeeeeeeeee
 
Sasa tunamshauri vipi ili aelewe haya
My dear... for this one ni vizuri kuweka mitazamo mitatu au minne... ambayo ndio ushauri wenyewe
Ya kwanza aanze na positive, kwamba the guy is addicted to having fun and him coming back is better than many who dont come back forever, whether wanakufa au wanakimbia kabisa.. In this case its her duty to soothe tha many and develop a new habit of encouraging the man to come early. in special circumstances, she may even need to go out with the man and not show attitude to friends even if she gets bored, this one works very well but there is price to pay... late night and sitting with people you may not love

Ya pili ni kwamba the guy is simply not into her... so she either fight for love or let go

Ya tatu ni utoto wa bwana

ya nne ni kero za nyumbani

Ya tano ni mazoea before marriage

Hizo tatu za mwisho ni mama kuchuja na kuamua kama aendelee na utoto, kero zake kama mama au kuachia mazoea ya kabla ya ndoa

All in all she needs to sit down with the man, in a very lively mood na wakiwa kwenye mapenzi motomoto, preferably out (muziki au nice dinner) na ajaribu kumpa undani wake mshkaji bila kugomba wala ugomvi

I pray that she will make it to the joyfull relationship
 
Sio lazima aulize amswali mengi.. amwambie 'pole kwa kazi dear', afu amuandalie maji ya kuoga kulala mzungu wa4[/QUOTE
]
Haya ndiyo maisha ya ndoa ?

Ndoa sio kudandiana tu kumyima au kumpa hakuna guarantee ya kusolve problem.
Mzungu 4
2. sio kumyima ni kutafuta pose muone atavyo ku aproach / react
3. Kama kweli anatoka small house ni uchafu at bip tu.
4. Ita Show that hujapendezwa na tabia yake
5. kwaweza saidia kudraw attention
6. Dont provoke him.
 
My dear... for this one ni vizuri kuweka mitazamo mitatu au minne... ambayo ndio ushauri wenyewe
Ya kwanza aanze na positive, kwamba the guy is addicted to having fun and him coming back is better than many who dont come back forever, whether wanakufa au wanakimbia kabisa.. In this case its her duty to soothe tha many and develop a new habit of encouraging the man to come early. in special circumstances, she may even need to go out with the man and not show attitude to friends even if she gets bored, this one works very well but there is price to pay... late night and sitting with people you may not love

Ya pili ni kwamba the guy is simply not into her... so she either fight for love or let go

Ya tatu ni utoto wa bwana

ya nne ni kero za nyumbani

Ya tano ni mazoea before marriage

Hizo tatu za mwisho ni mama kuchuja na kuamua kama aendelee na utoto, kero zake kama mama au kuachia mazoea ya kabla ya ndoa

All in all she needs to sit down with the man, in a very lively mood na wakiwa kwenye mapenzi motomoto, preferably out (muziki au nice dinner) na ajaribu kumpa undani wake mshkaji bila kugomba wala ugomvi

I pray that she will make it to the joyfull relationship

Nimekusoma mkuu!
 
ahh ni kwamba uo muda ambao hayupo SUBSTUTE ITAFUTWE JAMAN..
ye akiwa uko na mimi nakuwa uku narud mapema tu km saa5 ivi nikiwa mweupeeeeeeeeeeeee...
...haa mambo ingine ukiendekeza unaweza pata bp km si ukichaa wa muida watu wakakushangaa njiani...km anakufanyia ivi ni waz akuthamini na wewe hauna bud kutafuta sehemu ambayo utathaminiwa japo kdg ili kuepuka kuwehuka na kujifili km u mwanadamu na si mbwa!!!
...smtmes maadili yanatufunga watu na kuwafanya watu wazd kuumia ata kufa...sasa uko anakolala akimletea mgonjwa itakuwaje?
ahh apana
atafute kaka wa pemben awe anaenjoy nae mchana na abak na mumewe kwa kulinda ndoa na watoto tu ...VP MATUNZO ANAMPA?
 
ahh ni kwamba uo muda ambao hayupo SUBSTUTE ITAFUTWE JAMAN..
ye akiwa uko na mimi nakuwa uku narud mapema tu km saa5 ivi nikiwa mweupeeeeeeeeeeeee...
...haa mambo ingine ukiendekeza unaweza pata bp km si ukichaa wa muida watu wakakushangaa njiani...km anakufanyia ivi ni waz akuthamini na wewe hauna bud kutafuta sehemu ambayo utathaminiwa japo kdg ili kuepuka kuwehuka na kujifili km u mwanadamu na si mbwa!!!
...smtmes maadili yanatufunga watu na kuwafanya watu wazd kuumia ata kufa...sasa uko anakolala akimletea mgonjwa itakuwaje?
ahh apana
atafute kaka wa pemben awe anaenjoy nae mchana na abak na mumewe kwa kulinda ndoa na watoto tu ...VP MATUNZO ANAMPA?
Hiyo nayo hoja
 
Imekaaje mkuu?
Ameniudhi kweli huyo baba, ningemshauri huyo dada ampotezee tu, labda kama anampango wa kuondoka, maana akionyesha anajali sana na mtu mwenyewe ndio anamajibu machafu namna hiyo atazidi kuumia na kupata magonjwa mengine. Asimuulize wala nini iko siku ataulizwa mbona siku hizi huniulizi kwanini nachelewa...
 
mwanaume hana muda huwezi kuulizwa au kuwa na muda maalumu wa kurudi nyumbani kwako
 
mwanaume hana muda huwezi kuulizwa au kuwa na muda maalumu wa kurudi nyumbani kwako

Labda uwe unaishi na peke yako but kama unaishi na mwenzio (mkeo) nadhani lazma atahoji unless anaroho ya kinyama mkuu!
 
Back
Top Bottom