Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,506
waziri kashindwa hata kusimamia salary arreas za walimu na wahadhiri mbalimbali ataweza hilo la madawati? Haya hiyo chenji ya rada nayo imeingia labda hao wanaosomea hapo chini ya mbuyu watanufaika.Inauma na kupain sana; i think c maigizo it z rael exist in Tz, Viongozi hamuoni au hao c watz kama ninyi:A S-baby:?