shukrani

mkuu mchango wangu niliuwakilisha same day kwa pearl na alinipigia wakati anakabizi na akawakilisha salamu zangu akiwakikaoni nampa pongezi dada yetu kwa utendaji nzuri

Ooops my bad! Sikujua kama ni wewe mkuu, nisamehe bure! Nakumbuka wewe ndiye ulikuwa memba wa kwanza kutoa mchango kupitia njia ya mtandao! Ubarikiwe sana!
 
thx dia wanajua mchango ulifika anywei next tyme usikose maana kuna mambo mazuri mengi tulipanga so itakapo tokea tour ya kusafiri unakaribishwa


yani juu ya next meeting uitaji kupiga debe my dia labda itokee tu ila naomba mpange kikao kingine tuweze kukutana tena rasmi mwaka huu
 
Ooops my bad! Sikujua kama ni wewe mkuu, nisamehe bure! Nakumbuka wewe ndiye ulikuwa memba wa kwanza kutoa mchango kupitia njia ya mtandao! Ubarikiwe sana!

thanx mkuu naomba mzidi kutuunganisha tuonane wote tena live
 
ur toking about mwaka huu?tunazungumzia about kila mwezi kikao tunakutana na kuna michango ili inapotokea tatizo la membaz yyte kati ya wale tuliochanga na wengine watakao jiunga tusaidiane,iwe ni harusi,msiba etc
yani juu ya next meeting uitaji kupiga debe my dia labda itokee tu ila naomba mpange kikao kingine tuweze kukutana tena rasmi mwaka huu
 
Kumbe eneo mlilo kutana wanywaji waliogopa beer gharama sana pale tafuteni eneo linalo uza beer 1300-1400 vijana watamiminika kwa wingi.
 
ur toking about mwaka huu?tunazungumzia about kila mwezi kikao tunakutana na kuna michango ili inapotokea tatizo la membaz yyte kati ya wale tuliochanga na wengine watakao jiunga tusaidiane,iwe ni harusi,msiba etc

Safi sana. Next time unielekeze vizuri nawee.
 
nani kakwambia hakukuwa na gharama as u think,ask waliokuja mm memba pale so nimewafanya wote tuliokutana kuwa membaz n so uduma kwetu zikawa cheap
Kumbe eneo mlilo kutana wanywaji waliogopa beer gharama sana pale tafuteni eneo linalo uza beer 1300-1400 vijana watamiminika kwa wingi.
 
Kumbe eneo mlilo kutana wanywaji waliogopa beer gharama sana pale tafuteni eneo linalo uza beer 1300-1400 vijana watamiminika kwa wingi.

He! Kwani hapo walipokuwa bia shs ngapi? Pearl nielekeze vizuri, nisijeibukia tena kaunta kama juzi.
 
Kumbe eneo mlilo kutana wanywaji waliogopa beer gharama sana pale tafuteni eneo linalo uza beer 1300-1400 vijana watamiminika kwa wingi.

Siyo kweli mkuu. Salender Bridge Club bia zinauzwa bei ya kawaida tu, kama kwenye baa zingine. Sidhani kama bia moja inazidi Shs. 1,500.

Ila mapendekezo ya sehemu nyingine ya kukutana pia yanakaribishwa!
 
nani kakwambia hakukuwa na gharama as u think,ask waliokuja mm memba pale so nimewafanya wote tuliokutana kuwa membaz n so uduma kwetu zikawa cheap

Duh sikukulijua hili kumbe wewe pale premium member! sasa watauza kwa bei hizo? 1400-1300?
 
SASA itabidi niwasilishe pledge yangu!....
nimeridhika na maelezo
 
yap its true
Siyo kweli mkuu. Salender Bridge Club bia zinauzwa bei ya kawaida tu, kama kwenye baa zingine. Sidhani kama bia moja inazidi Shs. 1,500.

Ila mapendekezo ya sehemu nyingine ya kukutana pia yanakaribishwa!
 
nani kakwambia hakukuwa na gharama as u think,ask waliokuja mm memba pale so nimewafanya wote tuliokutana kuwa membaz n so uduma kwetu zikawa cheap

Hahaha! Inaelekea Pearl we mwanachama mwenzangu katika MILA. Unatumia bia gani wewe? Zaidi ya hapo we ni mwanachama wa kanisa/msikiti gani? (Sore off topic, sitarudia tena)
 
if ur serious tutakutana coz hata this wiki tunakutana

Hehehe! Hivi unaniona siko siriaz siyo? Ntakupiga bao la kukustukiza utashangaa na roho yako. Vipi wahudumu wa hapo wanatoa ushirikiano mzuri?
 
kwani wen ur a memba smwea lazima ufanye kinachohitajika?I dnt drink dear,mm anglikan
Hahaha! Inaelekea Pearl we mwanachama mwenzangu katika MILA. Unatumia bia gani wewe? Zaidi ya hapo we ni mwanachama wa kanisa/msikiti gani? (Sore off topic, sitarudia tena)
 
Siyo kweli mkuu. Salender Bridge Club bia zinauzwa bei ya kawaida tu, kama kwenye baa zingine. Sidhani kama bia moja inazidi Shs. 1,500.

Ila mapendekezo ya sehemu nyingine ya kukutana pia yanakaribishwa!
unajua ni lazima muwe fair and balanced na maeneo ya kukutana!
kwa mfano mimi ninaishi KIJIWE-SAMLI BOMBOM!...natumia daladala!ukiniweka salenda ni kunionea tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom