Duh sikukulijua hili kumbe wewe pale premium member! sasa watauza kwa bei hizo? 1400-1300?
He! Kwani hapo walipokuwa bia shs ngapi? Pearl nielekeze vizuri, nisijeibukia tena kaunta kama juzi.
Mwanglikani unakuwa mwanachama wa bar? Ntakushtaki kwa askofu wako, hebu nitumie namba zake! I will join you guys! Ila siwezi toa pledge kwa sasa. Ijumaa kamshahara katakuwa hakajaingia.kwani wen ur a memba smwea lazima ufanye kinachohitajika?I dnt drink dear,mm anglikan
unajua ni lazima muwe fair and balanced na maeneo ya kukutana!
kwa mfano mimi ninaishi KIJIWE-SAMLI BOMBOM!...natumia daladala!ukiniweka salenda ni kunionea tu
Hizo ndio bei zenyewe mkuu. Ila kwa mtazamo wangu binafsi, sidhani kama tofauti ya bei za bia ambayo haizidi shilingi 500 inaweza kuwa kikwazo ya mahali tunapotaka kukutana!
Hizo ndio bei zenyewe mkuu. Ila kwa mtazamo wangu binafsi, sidhani kama tofauti ya bei za bia ambayo haizidi shilingi 500 inaweza kuwa kikwazo ya mahali tunapotaka kukutana!
miss u ma
hehehehe!Hapo maumivu mpwa kuanzia 2000-----na kuendelea muulize Geoff ukiwa na 10,000 unakunywa 5
vere siriazNajua unatania, ila kama tukisema kila mtu atake tufanyie kwenye grosari ya karibu na anakoishi basi haitawezekana! Ndio maana tukapendekeza kati kati ya mji ambako kila mtu anaweza kufika!
ur toking about mwaka huu?tunazungumzia about kila mwezi kikao tunakutana na kuna michango ili inapotokea tatizo la membaz yyte kati ya wale tuliochanga na wengine watakao jiunga tusaidiane,iwe ni harusi,msiba etc
Hehehe! Hivi unaniona siko siriaz siyo? Ntakupiga bao la kukustukiza utashangaa na roho yako. Vipi wahudumu wa hapo wanatoa ushirikiano mzuri?
Hapo maumivu mpwa kuanzia 2000-----na kuendelea muulize Geoff ukiwa na 10,000 unakunywa 5
hehehehe!
tuliwahi kuhama baa kwa ongezeko la sh 50 kwenye kinywaji!....
ukiniuzia bia sh 2000 naweza kukupeleka mahakamani
hehehe!Dah! elfu kumi unapata tano? Wakati kuna sehemu alfu kumi unakamata saba na keep chenji ya kina ELIZA! No way man!
Ushikiano upo wa kutosha, ila hakuna wahdumu wa kike! Wapo wa kiume peke yao! ....Maana najua unachomaanisha kwenye hilo swali!
Hehehehe si ndo hapo mpwa.
Dah jamaa anasema ongezeko la 500 si kitu mmmh maumivu.
HAPO tunazungumzia losi ya shilingi elfu sita=bia tano na soda moja ya ELIZAKiongozi itabidi tuongee vizuri na huyu kijana. Inawezekana ana uhusiano na Chenge! 500 si kitu? Si ambao bia kumi ndo tunaanza kukata kiu itakuwaje hapo?