Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
MNGEZIANIKA HAPA TUJUE,kama alivyofanya SANCTUScheki na bujibuji mm nilimwachia madaraka yoooooooote
i hope ni jambo jema tu
MNGEZIANIKA HAPA TUJUE,kama alivyofanya SANCTUScheki na bujibuji mm nilimwachia madaraka yoooooooote
MNGEZIANIKA HAPA TUJUE,kama alivyofanya SANCTUS
i hope ni jambo jema tu
lakini ni wajibu na swala la msingi KU-DISKLOZ financial informations.mbona kule kwa mwanakijiji walitoa taarifa ya fedha zilizokusanywa?HELA au?
Acha masihara wewe!
Linapokuja swala la hela umesahau?
lakini ni wajibu na swala la msingi KU-DISKLOZ financial informations.mbona kule kwa mwanakijiji walitoa taarifa ya fedha zilizokusanywa?
Ulipitwa sana kidogo matumizi yawe zaidi ya donee....
Ni lazima tujue pesa zilizokusanywa,pledgez za kila mmoja na ahadiAhaa! Ngoja tusubiri basi.
....tunaomba taarifa za kikaoHujatulia, kuna aina moja ya kinywaji iliisha pale kwenye ile Clubi! Bila hivyo nahisi kweli matumizi yangeweza kuzidi doneee!!!
....tunaomba taarifa za kikao
Ni lazima tujue pesa zilizokusanywa,pledgez za kila mmoja na ahadi
KWA NIA NJEMA TU!
TAFADHALINI PEARL NA BUJIBUJI
FINANCIAL INFORMATION ndio hoja hapa!...Taarifa ya kikao inatakiwa ikave nini na nini?
tunaomba minutes,na taarifa zilizokuwa katika format nzuri na inayoeleweka FOR OUR RECORDS!Taarifa ya fedha itatolewa mara tutakokamirisha kukusanya michango toka kwa wale ambao wali - pledge kwenye simu ila bado hatujakwenda kuzikusanya.
Nafasi ya kutoa pledge bado iko wazi kwa mdau yeyote anayejisikia kuchangia. Kwa kifupi kikao kilikuwa kizuri, na wadau walifika kikaoni walichangia wastani wa shilingi 25,000 kila mmoja (mbali na gharama za kikao chenyewe )
Mpango uliopo ni kukusanya pledges ndani ya wiki hii na fedha tutaziwakisha kwa TPN, au mwakilishi mwingine wa Jamiiforums.com siku ya Ijumaa.
Maswali zaidi yanakaribishwa kuhusu suala hili.
FINANCIAL INFORMATION ndio hoja hapa!...
Hujatulia, kuna aina moja ya kinywaji iliisha pale kwenye ile Clubi! Bila hivyo nahisi kweli matumizi yangeweza kuzidi doneee!!!
tunaomba minutes,na taarifa zilizokuwa katika format nzuri na inayoeleweka FOR OUR RECORDS!
tunaomba attendace pia
....tunaomba taarifa za kikao
jamani pearl na wengine mliofanikisha kikao hongereni sana najua aikuwa kazi ndogo na tunaomba mwendelee na moyo huo najua ipo siku mtatukutanisha sisi ambao atujawai kukutana na wana jamiiforum
Halafu mbona hukuniaga ww, haya pitia PM yako