Mariangonyani
Member
- Mar 31, 2013
- 39
- 59
- Thread starter
- #21
Hili jina lake sio geni, kulikuwa na bandiko lake mwaka jana ingawaje sikumbuki ilikuwa ni kutamfuta mchumba au ilikuwa ni habari ya kuomba ushauri...
Hata hivyo Mungu akutie nguvu bi dada, kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa shughuli...
mi sio mgeni umu ndani nimewahi ata kutafuta mwenzi mwenye vvu na nikaambulia maumivu tu , kuna vitu vingi tu nimewahi post