MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,003
Mwezi March nilitoa thread yangu iliyokuwa na kichwa cha habari, 'Kama ni ndoto mbona haiishi?'. Baada ya kutoa thread ile nilipata faraja sana na ushauri wenu ulinipa nguvu mpaka sasa ninaishi, kwani niliishaanza kukata tamaa ya maisha.
Ndg zangu nimezingatia sana ushauri wenu hasa wale mlionipa kupitia PM, na namuomba Mungu awazidishie hekima na muwashauri wengine pia. Sasa imekuwa kama kawaida kwangu japo ile imebaki kuwa ni ndoto isioisha.
Mwisho kwa yeyote mwenye tatizo, hili ni jungu kuu lisilokosa ukoko. Ukiomba ushauri tegemea yote, chukua lifaalo.
Naomba nisimtaje mmoja mmoja ila wote naomba mpokee shukrani zangu. Nawapenda sana wana JF. AHSANTENI SANA.
Ndg zangu nimezingatia sana ushauri wenu hasa wale mlionipa kupitia PM, na namuomba Mungu awazidishie hekima na muwashauri wengine pia. Sasa imekuwa kama kawaida kwangu japo ile imebaki kuwa ni ndoto isioisha.
Mwisho kwa yeyote mwenye tatizo, hili ni jungu kuu lisilokosa ukoko. Ukiomba ushauri tegemea yote, chukua lifaalo.
Naomba nisimtaje mmoja mmoja ila wote naomba mpokee shukrani zangu. Nawapenda sana wana JF. AHSANTENI SANA.