MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 679
- 1,393
Habari za muda huu wana JF,
Leo nimeona nitoe shukrani au kuwapongeza MAIMAMU wa misikiti mbalimbali hapa Jijini Dar es Salaam,kwa kuanzisha utaratibu wa kuwasaidia ndugu zetu walemavu wa Macho.
Nimejaribu kufuatilia Misikiti mingi nimeona wameweka siku na muda maalumu wa kuwasaidia watu hawa.
Mf; hii ni baazi ya Misikiti Michache nilio iyona ikifanya huu utaratibu
Msikiti wa Sinza Parestina,Ilala Bungoni,Magomeni Mataa(Kichangani),Magomeni Mwinyi Mkuu,Kigogo Round about Nk.
Hii ni michache kati ya mingi nilio jaaliwa kuishuhudia ikifanya hivyo, Maimamu hukusanya pesa kwa waumini (Hiyo siku huwa ni Siku ya michango ya Walemavu tu). nimefarijika sana kuona ndugu zetu walemavu wa Macho wasio jiweza wakipata msahada.
Leo nimeona nitoe shukrani au kuwapongeza MAIMAMU wa misikiti mbalimbali hapa Jijini Dar es Salaam,kwa kuanzisha utaratibu wa kuwasaidia ndugu zetu walemavu wa Macho.
Nimejaribu kufuatilia Misikiti mingi nimeona wameweka siku na muda maalumu wa kuwasaidia watu hawa.
Mf; hii ni baazi ya Misikiti Michache nilio iyona ikifanya huu utaratibu
Msikiti wa Sinza Parestina,Ilala Bungoni,Magomeni Mataa(Kichangani),Magomeni Mwinyi Mkuu,Kigogo Round about Nk.
Hii ni michache kati ya mingi nilio jaaliwa kuishuhudia ikifanya hivyo, Maimamu hukusanya pesa kwa waumini (Hiyo siku huwa ni Siku ya michango ya Walemavu tu). nimefarijika sana kuona ndugu zetu walemavu wa Macho wasio jiweza wakipata msahada.