Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Ni burdan kwa kweli kusikiliza vipindi kuanzia Joto la Asubuhi mpaka Sports Hq.
Wameamua kucheza musiki wa zamani kama kukupoza hivi, yaani raha isokuwa na maelezo. Najua pana wapiga chabo watawafuata katika vipindi vyao kwa kucheza nao miziki ya zamani.
Namuomba Gerald Hando apunduze mihemko katikati ya muziki kwani unaninyima raha bwana.
Hongera sana E FM kwa ubunifu huo.
Wameamua kucheza musiki wa zamani kama kukupoza hivi, yaani raha isokuwa na maelezo. Najua pana wapiga chabo watawafuata katika vipindi vyao kwa kucheza nao miziki ya zamani.
Namuomba Gerald Hando apunduze mihemko katikati ya muziki kwani unaninyima raha bwana.
Hongera sana E FM kwa ubunifu huo.