Underceteris
Member
- Sep 29, 2018
- 81
- 147
Ni kweli mkuu; mi nachoka mwenyewe kukaa kifuaniHongera Mzee Baba nakuongezea nondo....asipokimbia na kuacha chupi sijui...
At least kwa wiki mara tatu....chukua maziwa blend na tende weka na asali kijiko kimoja. Tende ina vitamin nyingi sanaaa hasa potassium ambayo inaongeza stamina..
Na masaa machache kabla ya game blend kipande cha tikiti..mix na tangawizi mbichi ambayo umesha itwangwa huo mchanganyiko usiweke maji wala sikari....kunywa.
NB: Ninefanya haya mambo ndani ya wiki moja kabla sijakutana na mrembo, baada ya game amenisifia balaaaa.