Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,142
JAMAA AZUNGUMZIA JINSI WA UKRAINE WANAVYO WABAGUWA WATU WEUSI...
Download
720
Download
720
Inaliza
Abroad my footDah sio mchezo kabisaa haya mataifa ya ki soviet ni mabaguzi hasa sijui yana jiona ni wa class sana
AlrightAbroad my foot
Maisha popote hata hapa unabaguliwa na mkoloni mweusi unakutana na askari anakupa kesi anakudunda hata kukuua au anakupa kesi ya ujambazi.Wavumilie tu,wengine tukiwaambia piganeni kiume nchini mwenu wanasema Bongo nyoso.
JAMAA AZUNGUMZIA JINSI WA UKRAINE WANAVYO WABAGUWA WATU WEUSI...
View attachment 2142613
Download
720
Sasa unazaaje kule wakati ushaambiwa ni wabaguzi huyo demu wa ki Ukraine utampatia wapiYou back people of you go there do make
You idiots when you go there do not make babies, it's easy use condoms! You can leave your blood behind like that, a very good definition of irresponsible Africans
Kweli kabisa ukienda nje unabaguliwa ukiwa Tanzania muda wote uko roho juu hujui lini utabambikiziwa kesi ukasulubiwe katika kituo cha polisi shida ni yetu kila mahali Mungu atunusuruMaisha popote hata hapa unabaguliwa na mkoloni mweusi unakutana na askari anakupa kesi anakudunda hata kukuua au anakupa kesi ya ujambazi.
We ukiona nje ndipo utatokea nenda tu, ukiona hapa panafaa unakaa tu.
Kabisa mkuu tunabaguliwa na kubaguana.Kweli kabisa ukienda nje unabaguliwa ukiwa Tanzania muda wote uko roho juu hujui lini utabambikiziwa kesi ukasulubiwe katika kituo cha polisi shida ni yetu kila mahali Mungu atunusuru
Sasa unazaaje kule wakati ushaambiwa ni wabaguzi huyo demu wa ki Ukraine utampatia wapi