KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,200
Salam kwenu wakuu,
Watoto wa kike au wasichana shtukeni muda sio rafiki
1: Miaka 3 unagandana na mme wa mtu alafu unawakataa vijana unajizibia mwenyewe riziki kutwa kwa wachungaji eti unatafuta mume wakati unatembea na mume wa mtu, shtuka Mungu anakuona.
2: Mtoto wa kike una watoto 2 kila 1 na baba yake alafu unaweka sifa za mwanaume unaemtaka akuoe, shtuka utazeekea nyumbani wewe.
3: Msichana unafika geto kila kitu kimo ndani unaulizwa tule nini, unadakia tukanunue chipsi, shtuka wanaume hatuowi ujinga ujinga sisi.
4; Umeahidiwa mtoko na baby wako bahati mbaya siku imefika anakwambia mama yake anaumwa anahitaji pesa, anakuuliza mtoke au amtumie mama yake hiyo hela, unajibu kwa kujishaua tutoke baby nawaamini kaka zako watamtumia, siku zako zinahesabika wewe.
Ni hayo tu kama unalakuongezea ili dada zetu hawa washtuke tupia tu mdau
Watoto wa kike au wasichana shtukeni muda sio rafiki
1: Miaka 3 unagandana na mme wa mtu alafu unawakataa vijana unajizibia mwenyewe riziki kutwa kwa wachungaji eti unatafuta mume wakati unatembea na mume wa mtu, shtuka Mungu anakuona.
2: Mtoto wa kike una watoto 2 kila 1 na baba yake alafu unaweka sifa za mwanaume unaemtaka akuoe, shtuka utazeekea nyumbani wewe.
3: Msichana unafika geto kila kitu kimo ndani unaulizwa tule nini, unadakia tukanunue chipsi, shtuka wanaume hatuowi ujinga ujinga sisi.
4; Umeahidiwa mtoko na baby wako bahati mbaya siku imefika anakwambia mama yake anaumwa anahitaji pesa, anakuuliza mtoke au amtumie mama yake hiyo hela, unajibu kwa kujishaua tutoke baby nawaamini kaka zako watamtumia, siku zako zinahesabika wewe.
Ni hayo tu kama unalakuongezea ili dada zetu hawa washtuke tupia tu mdau

