Show za kibabe

Show za kibabe

Kuna mambo ambayo nikipata taarifa kwenye hivyo vyanzo nitaamini ila hii ya TB Joshua bado sijapata uhakika zaidi,kuna yeyote anayeweza kuchambua/kufuatilia tangu mzozo wa Tb joshua 2014 ikihusishwa na BBc pia?
Ukifuatilia vizuri huu mkasa utagundua kitu km hufuatilii huwezi kugundua kitu utabikia kua bendera fuata upepo, kwa ufupi tu Scoan ni km secret society na hawataki kuweka wazi maovu Ila waliotendewa na waliofanya kazi hapo ndio wanaosema nini kimekua kikiendelea kwa zaidi ya miaka 20
 
Oh yeah,maneno kila mtu anaweza kusema na kama ushahidi unapatikana, waweke watu wathibitishe hilo

Hapo sasa mfano wa kumpiga zuluman,inaonekana kijana unapenda sana ukorofi🤣

Kanyonye huko
BBC sio chombo uchwara cha habari usisahau hilo
 
Ukifuatilia vizuri huu mkasa utagundua kitu km hufuatilii huwezi kugundua kitu utabikia kua bendera fuata upepo, kwa ufupi tu Scoan ni km secret society na hawataki kuweka wazi maovu Ila waliotendewa na waliofanya kazi hapo ndio wanaosema nini kimekua kikiendelea kwa zaidi ya miaka 20
Ni kheri kufutailia kuliko kuanzia hapa liliposemwa.
 
IMG_20240111_185518.jpg
IMG_20240111_185518.jpg
 
Back
Top Bottom