Fallback
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 11,399
- 20,580
Ushuhuda kutoka kwa watu kadhaa walionusurika unaonyesha kuwa TB Joshua alikuwa akiwanyanyasa na kuwabaka wanawake vijana kutoka kote ulimwenguni mara kadhaa kwa wiki kwa karibu miaka 20.
Ushuhuda kutoka kwa watu kadhaa walionusurika unaonyesha kuwa TB Joshua alikuwa akiwanyanyasa na kuwabaka wanawake vijana kutoka kote ulimwenguni mara kadhaa kwa wiki kwa karibu miaka 20.
Hao Wana piGania usimamizi was Mali, so hizo ni janja janja tumUshuhuda kutoka kwa watu kadhaa walionusurika unaonyesha kuwa TB Joshua alikuwa akiwanyanyasa na kuwabaka wanawake vijana kutoka kote ulimwenguni mara kadhaa kwa wiki kwa karibu miaka 20.
Hao Wana piGania usimamizi was Mali, so hizo ni janja janja tum
Kaka tafuta chanzo halisi, hizo ni story hata wewe una eza sema.
Vyanzo nnavyoviamini ambavyo vinazama ndichi mpaka shimoni huko wapo tayari kufa kusaka habariKaka tafuta chanzo halisi, hizo ni story hata wewe una eza sema.
👉BBC wame yumba mno, hizo SI hata wewe una weza sema uli rogwa😀😁
Dah kwamba hivyo vyanzo viko 100 percent 🤣😀😂.Vyanzo nnavyoviamini ambavyo vinazama ndichi mpaka shimoni huko wapo tayari kufa kusaka habari
1. Al Jazeera - hawa wakirusha chochote nakiamini maana naona moja kwa moja kutoka site eg. Vita ya Israel na Hamas
2. DW - hawa wakirusha chochote nakiamini maana wanazama mpaka huko Congo Goma kwa M23 wanawafuata M23 wenyewe wanaenda kupiga nao story na kitu tunapewa moja kwa moja
3. BBC - hawa sio wa Jana wala juzi wakitua chochote kwenye media zao nakiamini maana hawanaga janjajanja sio chombo habari kanjanja km vyombo vyenu vya kuokoteza okoteza udaku wa hapa na pale kwa hio kwa habari ya Joshua nawaamini walichokifanyia utafiti kua km kuna uongo basi ni asilimia chache Ila asilimia nyingi ni ukweli
4. CNN - hawa ilikua zamani hizo Ila siku hizi wamepotezwa hawaonekani tena wakizama kwenye habari hatarishi na haijulikani wamepotelea wapi
Kwa hio hivyo ndio vyanzo vyangu nguli ambavyo vikitoa habari naziamini kwa asilimia zote bila wasiwasi wowote, yaan hao wakiibuka kesho na kusema Mwmposa kafungua vituo vya mafuta ya upako kila Mkoa na kuna mazombi wananunua sitokataa maana wanasema ukweli, unajua maana ya zombi?
![]()
TB Joshua: Kiongozi wa kanisa kubwa alibaka na kuwatesa waumini, BBC imegundua - BBC News Swahili
Mwinjilisti mashuhuri wa televisheni kutoka Nigeria alishiriki katika ubakaji na unyanyasaji wa wafuasi wakec, BBC imegundua.www.bbc.com
My morning anthem [emoji120][emoji120], shukuru kwa neema ya siku nyingine [emoji855]
View attachment 2868062
Nipo hapa
Sijasema 100 nimesema km ni uongo basi ni % chache kuliko ukweli, we unafikiri ni km vyanzo vyenu kanjanja udaku udaku Goodluck Gozbert kasema hivi wanakata kile kipande cha mwanzo wanaweka kipande cha uchonganishi wanaunganisha na kipande kingine cha uchonganishi alafu wanarusha ili wapate viewer na followers?
Kuna mjadala mkuu, hivi vyanzo vya habari Kama bbc, Al Jazeera huwa una viamini Sana.
And the same time hao BBC, wakawa Wana pindisha kuhusu Vita vya Ukraine😀😂🤣.Sijasema 100 nimesema km ni uongo basi ni % chache kuliko ukweli, we unafikiri ni km vyanzo vyenu kanjanja udaku udaku Goodluck Gozbert kasema hivi wanakata kile kipande cha mwanzo wanaweka kipande cha uchonganishi wanaunganisha na kipande kingine cha uchonganishi alafu wanarusha ili wapate viewer na followers?
Sometimes viko biased.. Japo vina habari za kitafiti zaidi zenye ithibatiKuna mjadala mkuu, hivi vyanzo vya habari Kama bbc, Al Jazeera huwa una viamini Sana.
[emoji117]Kuhusu kutoa habari kuhusu Africa??
Hicho ndicho namwambia Jamaa, Kuna kipindi nili angalia interview ya kagame Ali waambia ukweli.Sometimes viko biased.. Japo vina habari za kitafiti zaidi zenye ithibati
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo ambayo nikipata taarifa kwenye hivyo vyanzo nitaamini ila hii ya TB Joshua bado sijapata uhakika zaidi,kuna yeyote anayeweza kuchambua/kufuatilia tangu mzozo wa Tb joshua 2014 ikihusishwa na BBc pia?
Shida ime and kwenye umiliki was Mali za kanisa, kulikuwa na kesi mahakamani.Kuna mambo ambayo nikipata taarifa kwenye hivyo vyanzo nitaamini ila hii ya TB Joshua bado sijapata uhakika zaidi,kuna yeyote anayeweza kuchambua/kufuatilia tangu mzozo wa Tb joshua 2014 ikihusishwa na BBc pia?
Kupindishaje? Unataka waiandike unavyotaka wewe?And the same time hao BBC, wakawa Wana pindisha kuhusu Vita vya Ukraine😀😂🤣.
Oh yeah,maneno kila mtu anaweza kusema na kama ushahidi unapatikana, waweke watu wathibitishe hiloShida ime and kwenye umiliki was Mali za kanisa, kulikuwa na kesi mahakamani.
👉Mke wa marehemu aka shinda, naona ni mbinu za kuli yumbisha kanisa.
👉Why taarifa isi toke akiwa hai??,
👉Kama ni kweli, Kuna ushahidi wa kitabibu zaidi??, Kuonesha ni kweli wali ingiliwa kimwili??
👉Maana maneno hata mi naeza sema Nili mpiga Zulu man 🤣😂