Show za kibabe

Show za kibabe

How books be giving you that self dvpt ambayo you can't find anywhere else but in them books?
Sorry niku ulize kitu??, Una hisi kwanini tuna jifunza maarifa??
👉Kama inge kuwa simple basi tunge jua kila kitu.
👉una niuliza why books??, It's my priority tu 🤒- Kama nyinyi mpendavyo starehe au hobby zenu🤒.
👉and at last ni kujifunza mitazamo ya watu mbalimbali, juu ya maswala tofauti 🤒
 
08ad554c209b3fd969b4282af5ecc75f.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry niku ulize kitu??, Una hisi kwanini tuna jifunza maarifa??
👉Kama inge kuwa simple basi tunge jua kila kitu.
👉una niuliza why books??, It's my priority tu 🤒- Kama nyinyi mpendavyo starehe au hobby zenu🤒.
👉and at last ni kujifunza mitazamo ya watu mbalimbali, juu ya maswala tofauti 🤒
Tunajifunza maarifa ili kuongeza uelewa,je unaongeza kwa kwa kusoma pekee vitabu? Unatekeleza ili yaendelee kubaki kama tabia ya kila siku katika utendaji fikra,utendaji matendo?
Ipi ni njia nzuri ya kukufanya maarifa yako unayojifunza kwenye kitabu yafanye ubongo uone umeyatendea haki?

Tunajifunza maarifa ili kuwa expert kwenye baadhi ya mambo na ili ikusaidie huko mbeleni.

Pitia source za maarifa ili yawe maarifa sahihi ni lazima yalete matokeo mazuri na si kufurahia/kuonekana unasoma tu vitabu vya kuongeza maarifa.

Hahaha umefahamu vipi napendelea starehe na unifahamu?🤣
Mimi napendelea utani sana na watu na sometimes kwa vitu serious kama vya majonzi ninaweza kukutania ilimradi nikuondolee hiyo hali.

Mitazamo ni mizuri kujifunza kupitia watu maana unaweza kuchukua na kuboresha mitazamo yao ila si kila mtazamo ni sahihi kwako,njia sahihi inaweza kuwa moja ila usitembee kama atembeae aliyetangulia maana unaweza kufail.
Hata huyo David shwartz anakuambia ufanyie kazi maarifa na si kumuandika JF hapa🤣
 
Tunajifunza maarifa ili kuongeza uelewa,je unaongeza kwa kwa kusoma pekee vitabu? Unatekeleza ili yaendelee kubaki kama tabia ya kila siku katika utendaji fikra,utendaji matendo?
Ipi ni njia nzuri ya kukufanya maarifa yako unayojifunza kwenye kitabu yafanye ubongo uone umeyatendea haki?

Tunajifunza maarifa ili kuwa expert kwenye baadhi ya mambo na ili ikusaidie huko mbeleni.

Pitia source za maarifa ili yawe maarifa sahihi ni lazima yalete matokeo mazuri na si kufurahia/kuonekana unasoma tu vitabu vya kuongeza maarifa.

Hahaha umefahamu vipi napendelea starehe na unifahamu?🤣
Mimi napendelea utani sana na watu na sometimes kwa vitu serious kama vya majonzi ninaweza kukutania ilimradi nikuondolee hiyo hali.

Mitazamo ni mizuri kujifunza kupitia watu maana unaweza kuchukua na kuboresha mitazamo yao ila si kila mtazamo ni sahihi kwako,njia sahihi inaweza kuwa moja ila usitembee kama atembeae aliyetangulia maana unaweza kufail.
Hata huyo David shwartz anakuambia ufanyie kazi maarifa na si kumuandika JF hapa🤣
Sema siku hizi nime kua, ulicho kuandika ni pumba kwangu.
👉 I mean no malice to nobody 🤒.
 
Sababu mimi sio David Schwartz?Aliko dangote?🤣
Yo' ain't grown yet totoo,go get some mama's milk.When you grow up you'll know if you've matured...no need to prove it.
Mkuu maarifa haya thaminiwi, Eti kisa wewe ni fulani au una nini??
👉Hata chizi ana eza toa ushauri, na ukawa Bora zaidi.
👉Kwa ulicho kuandika hapo juu, inge kuwa zamani ninge kujibu kwa hoja zaidi- ila nime ona your brain is still an infant(no offense)
 
Mkuu maarifa haya thaminiwi, Eti kisa wewe ni fulani au una nini??
👉Hata chizi ana eza toa ushauri, na ukawa Bora zaidi.
👉Kwa ulicho kuandika hapo juu, inge kuwa zamani ninge kujibu kwa hoja zaidi- ila nime ona your brain is still an infant(no offense)
Unajikamata sasa "maarifa hayathaminiwi"
Rejea hao dudes unawapitia kijana, online n.k,umeona uzito unaowachukulia ?kwa sababu ni nani?wanafanya nini...!

Usikatae,thamini maarifa.
🤣
 
Unajikamata sasa "maarifa hayathaminiwi"
Rejea hao dudes unawapitia kijana, online n.k,umeona uzito unaowachukulia ?kwa sababu ni nani?wanafanya nini...!

Usikatae,thamini maarifa.
🤣
You brain has two side, right and left.
👉In the right there is nothing left, and in the left there is nothing right🤒
 
You brain has two side, right and left.
👉In the right there is nothing left, and in the left there is nothing right🤒
You got this issue where admittin' you're wrong is like pulling teeth kijana.
Lakini reading all those books doesn't mean squat if you can't acknowledge you're missing something.
Following the footsteps of your idols kwa mitandao na vitabu is cool sijakataa but it's a fine line between respecting their knowledge and disrespecting your own.
It's whack kutothamini ya kaka yako hapa🤣while praising a chizi who hasn't spilled a drop of wisdom on you.
Clearly you're into valuing the unknown ya chizi wa mfano and unable to grasp the gems I'm laying down and instead dissing them like they're worthless.
Your brain's stuck in neutral and struggling to appreciate the real deal while hyping up the mystery..
 
Back
Top Bottom