Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,168
- 831,913
- Thread starter
- #361
Shida wachungaji hampendi kuji funza, out side the box.
Hivi vitu ni
, ma babu zako wenyewe wali tumia
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida wachungaji hampendi kuji funza, out side the box.
Hivi vitu ni
, ma babu zako wenyewe wali tumia
.
Kaka 😂😀😀
Minywele minywele minywele, kanhgu😂😂😂😂😂Sitaki zyutshdyhty😡😡😡
Hahaha!Shida wachungaji hampendi kuji funza, out side the box😂🏃.
👉Hivi vitu ni 🔥🔥🔥, ma babu zako wenyewe wali tumia😂😀.
Una hisi upako ni makalio, kwamba kila chizi anao😂😀😀🤒Hahaha!
Pastor zulu ninaupako wa kutosha hizo za mababu namuachia mshana.
Hauko na adabu kabisa.Una hisi upako ni makalio, kwamba kila chizi anao😂😀😀🤒
We mwenyewe nasikia una bima ya milembe for life😂😀🤣Hauko na adabu kabisa.
Hiyo akili unamiliki itabidi nikulete hapa tandale nikuweke headbutt utosi ukae sawa kidogo😅
Hahaha!We mwenyewe nasikia una bima ya milembe for life😂😀🤣
ChaoHahaha!
Sawa sawa...
Shukrani sana kwa kusogeza siku,catch you later rafiki!
RererereMixxxxxxxVyakula
Vinywaji
Viwanja
Viwalo
Vyovyote, popote tupiamoView attachment 2858106
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona remix ya remix ya selfika🤣Hahahahaha
Kabla Uzi haujaingiliwaNipo hapa na maji ya dasani madogo ngoja nitupie😂
Hasa mbona hukuniitaKitu kipyaaaa sasa waje kuharibu na huku
Hivi kwann na we hukuniita lkn ?.🤣🤣🤣🤣kaka Kwa kutuletea machimbo mapya uko vizuri
Weee nilisahau ujueHasa mbona hukuniita
Roho mbaya umeanza lini
Mi ndo naona sahivi
Mmh hapanaWeee nilisahau ujue
Haya njoo upite naked basii
Aah boss uko vzrHapo ni wapi??, Napendaga juice za pale golden fork ya oysterbay