Ukipata access naomba uni tag mkuuWakuu naomba msaada wa jinsi ya kuzipata hizi shows online "full" sio vipande vipande
ya mwaka huu kwani tiari?Wakuu naomba msaada wa jinsi ya kuzipata hizi shows online "full" sio vipande vipande
sijajua mkuu, ila mimi nlikuwa natafuta access ya kupata full shows za tangu 2011 mpaka 2013
Marudio yanafanyika mara baada ya kutoka Kwa tuzo tu lakini baada ya hapo hawaoneshi tena mpaka msimu mwingine wa tuzo....Vipi mkuu huwa unazipata na zilizopita?