Meangalia ratiba ya CECAFA kwa vile ahadi ni deni na tushakosa ya 2008 tukijitahidi Ghana wanaweza kuhosti tena baada ya miaka 53 (kiharakaharaka considering # ya nchi za kiafrika) hapo hujaweka mzunguko wa mashindano ambao ni miaka mingapi tena? Teh teh teh, ahadi ni deni lakini wenzako Waungwana washasahau kaka......
Teh teh teh..... Hivi Mtaalam, unakumbuka yale majengo yalijengwa kule Kilwa Rd maeneo ya Kurasini kwa ajili ya kuwa kituo cha michezo.... hayakumalizwa yale na yalikuwa na viwanja vikubwa na karibu sana na Uwanja wa Taifa (nadhani bado jina halijabadilishwa manake mh ni kasheshe kasi inakuwa kubwa kidogo for slow snails kama mimi ku-catch up)..... Well mwaka juzi tulijenga kituo kingine from scratch pale Karume zamani, na kile cha zamani - mh..... ha ha haaaa
sawa tu tutafika, Heri ya Eid El-Adha Waungwana....
Teh teh teh..... Hivi Mtaalam, unakumbuka yale majengo yalijengwa kule Kilwa Rd maeneo ya Kurasini kwa ajili ya kuwa kituo cha michezo.... hayakumalizwa yale na yalikuwa na viwanja vikubwa na karibu sana na Uwanja wa Taifa (nadhani bado jina halijabadilishwa manake mh ni kasheshe kasi inakuwa kubwa kidogo for slow snails kama mimi ku-catch up)..... Well mwaka juzi tulijenga kituo kingine from scratch pale Karume zamani, na kile cha zamani - mh..... ha ha haaaa
sawa tu tutafika, Heri ya Eid El-Adha Waungwana....