Short story ya maisha ya jeshini

Short story ya maisha ya jeshini

Sio kataka, ni haijui kwelii huyoo.
Unadhani hata yuko Msata? Yuko Ghettoni kwake akishiba chips zege na Pepsi, anaota yuko ndani ya kombati.

khaaaaah
🤣🤣🤣 huyo anazingua toka jana mimi nilikuwa namchora tu.
Mara yuko kambini sasa sijui kambi ipi inaruhusu kuruta kutumia simu 😹😹😹
 
Short story nimesoma na kuimaliza nikiwa na dicloper hapa. Na hapa "majuorner yaan wadogo wale ndio sinior" ndio pameniongezea Maumivu. Well Short Story nzuri Kuna lakujifunza kama ulivyosema.😄
La kujifunza limejaa funza kwerikweri na kasema anafundisha
atakua anafundisha ufaiza foxy huko shuleni ndugu yetu Mwachi
 
Summary ya hiyo short story šŸ˜„
 

Attachments

  • Screenshot_20240720-192337~2.jpg
    Screenshot_20240720-192337~2.jpg
    49.5 KB · Views: 17
Mdogo wako ana vituko sana!!
Kwanza yeye hivyo alivyo ataliweza jeshi?
Hiyo mujibu tu miezi 3 asingefika wangezika huko huko makamanda

Mimi kwakweli na mambo ya jeshi kukomaa sura na nyuchi hapana, nilikataa..!
anatafuta umaarufu kwa nguvu mdogo angu,
Natakaa nim boost, apate kiki JF nae aridhikee.
 
Mdogo wako ana vituko sana!!
Kwanza yeye hivyo alivyo ataliweza jeshi?
Hiyo mujibu tu miezi 3 asingefika wangezika huko huko makamanda 🤣🤣🤣

Mimi kwakweli na mambo ya jeshi kukomaa sura na nyuchi hapana, nilikataa..!
Mimi naemda nipo njian naenda msata
 
Mdogo wako ana vituko sana!!
Kwanza yeye hivyo alivyo ataliweza jeshi?
Hiyo mujibu tu miezi 3 asingefika wangezika huko huko makamanda 🤣🤣🤣

Mimi kwakweli na mambo ya jeshi kukomaa sura na nyuchi hapana, nilikataa..!
Ukisikia hizi kauli jua huyu ni wewe.
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚Unataka kusema hakuna mjeda pis kali!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom