omben
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 821
- 476
Topic: Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha - Musana wa vinyu!
Mods naomba ondoa hii topic kwa sababu imekiuka maadili ya JF.
Musana wa Vinyu ni sentensi inayoeleweka katika kabila Tatu au zaidi kule Mbeya,
kuwa na maana ya
---- la mama yako...
Kinyiha, Kisafwa, Kimalila, Kilambya, Usongwe pamoja na makabila mengine jirani watajua hapa Shonza katukanwa ---- la mama yake... na sidhani kama huu ni utararatibu unaokubalika katika kujadili siasa hapa JF!!!
Delete this post please....
Musana=mgongo.