Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
Ndugu Uswe alichosema huyo mama hajakosea kabisa , ni moja tu ya namna ya kupunguza foleni. Alichokosea ni kuwa bado public transport ni mbaya hivyo hata ukipandisha kodi huyu mtu anakuwa hana alternative zaidi ua kuendelea kuumia kutumia gari lake. Nchi zingine kwa mfano Brazil walifanya sana hiyo style lakini wakijua RBT zinasaidia na kuwa substitute. Tanzania huwezi ukaingia kwenye daladala na laptop yako ukajiona salama!
Kati watanzania 1000 ni watanzania 4 wenye magari yakutembelea,kuna haja ya kushusha CIF ili watz wamiliki magari.Dar kuna watu zaidi ya 4.5 milion lakin magari hayafiki 100,000.Bado mikoani hamna hata magari.