Amini Usiamini, Leo bungeni katika kipindi cha maswali na majibu mbunge wa kuteuliwa nafikiri wa mji mkongwe bi AMINA AMOUR ameuliza swali bungeni kwamba Dar Es Salaam imekua na magari mengi na kwa hiyo msongamano umekua mkubwa, kwa nini serikali haioni ni busara na wakati muafaka sasa kuongeza ushuru ili kupunguza idadi ya mgari yanayoingia nchini.
Kwa taarifa,
For all vehicles with that are not more than 10 yrs old
Import duty 25%
Excise duty 10%
VAT 18%
Cumulatively this is 63% of CIF value! (Amina anataka zaidi ya hapa!)
Kama imezidi miaka kumi unapiga nafikiri 20 au 25% uchakavu yaani inakua kama 87% ya CIF
Jamani hii ndo aina ya wawakilishi tulionao mjengoni, solution ya foleni barabarani ni kuzuia watu kununua magari kwa kuongeza ushuru. Kwa hali ilivo sasa ushuru wa magari ni mkubwa sana lakini Amina anaona hautoshi.
Nimeshangaa sana! Sikutegemea kama mbunge anaweza kuwa na mawazo hovyo kiasi hiki, hawazi kabisa kuhusu kuboresha miundo mbinu...AJABU AND SHOKING!
source: TBC1
Kwa taarifa,
For all vehicles with that are not more than 10 yrs old
Import duty 25%
Excise duty 10%
VAT 18%
Cumulatively this is 63% of CIF value! (Amina anataka zaidi ya hapa!)
Kama imezidi miaka kumi unapiga nafikiri 20 au 25% uchakavu yaani inakua kama 87% ya CIF
Jamani hii ndo aina ya wawakilishi tulionao mjengoni, solution ya foleni barabarani ni kuzuia watu kununua magari kwa kuongeza ushuru. Kwa hali ilivo sasa ushuru wa magari ni mkubwa sana lakini Amina anaona hautoshi.
Nimeshangaa sana! Sikutegemea kama mbunge anaweza kuwa na mawazo hovyo kiasi hiki, hawazi kabisa kuhusu kuboresha miundo mbinu...AJABU AND SHOKING!
source: TBC1