Shocking: Al-Shabaab

Shocking: Al-Shabaab

Tutachezewa sana akili na hii kitu. Selikali ya Kenya ndio yenye kuujua ukweli,Raisi amehutubia taifa la kenya mara ya kwanza ni lazima atahutubia tena taifa kutoa matokeo ya kiuchunguzi hapo ndipo tutajua mbivu na mbichi. Matokeo ya suala hili hayawezi toka kama matokeo ya uchaguzi. Tutulie tutajua ukweli kutoka kwa selikali,Raisi wa Kenya hawezi idanganya dunia.
 
Haki ya Mungu jamaa Al-Shabaab wanatisha aisee,,,watu 10 wanatoa jasho jeshi zima? Je wangekuwa wapo 50?

VIVA AL-SHABAAB
 
Tatizo polisi na wanajeshi wa Kenya wanapenda sana rushwa...! Hawana tofauti na Polisi wa Tanzania kwa RUSHWA...!

Nafikiri Tanzania wamezidi, Kuna siku traffic katusimamisha kwa juhudi kabisa tukajua speed gun imetukamata.. tuliposimama akaanza kutueleza shida yake kwa kusema .."nyie na gari yenu hamna shida wazee ila mie maji ya kunywa tu" abiria mmoja akampa 2,000/= tukaendelea na safari
 
nifafanulie,je hawa ndio walomuua mwangosi?,ndo walomuumiza Kibanda na Dr Uli?,ndio walotupa Bom Arusha???,maana vitendo vyote hivi ni vya kigaidi kwa mtazamo wako

hoja ni kuwa ugaidi unaanza kwa uchochezi, halafu vinafuata vitendo ambavyo vikiachiwa vinawapa nguvu wahusika kutenda Ugaidi mkubwa zaidi. Tuko nyuma kwa kuwa hatuchukui hatua zozote kukabiliana na uchochezi.
 
Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.
kumradhi hao ni polisi.
 
Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.

hao ni jeshi la Kenya la police
 
1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!
acha uongo wewe hao ndio polis wa Kenya wabisha nini sasa
 
1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!

Wewe jmali mbona hueleweki. unashutumu vyombo vya ulinzi vya Tz au waislamu wa Tz? Maana umeshindwa tu kuwa muwazi moja kwa moja. Kweli kuna masheikh hapa Tz wanahubiri ugaidi! au una lako jambo??? umeshindwa kuchangia mada iliyopo matokeo yake unaanzisha mambo mengine. Hamia kenya basi maana yaonesha Tz panakukera sana. Hovyoooooooooooooooooooooooo!
 
hoja ni kuwa ugaidi unaanza kwa uchochezi, halafu vinafuata vitendo ambavyo vikiachiwa vinawapa nguvu wahusika kutenda Ugaidi mkubwa zaidi. Tuko nyuma kwa kuwa hatuchukui hatua zozote kukabiliana na uchochezi.
Huna lolote wewe
 
hoja ni kuwa ugaidi unaanza kwa uchochezi, halafu vinafuata vitendo ambavyo vikiachiwa vinawapa nguvu wahusika kutenda Ugaidi mkubwa zaidi. Tuko nyuma kwa kuwa hatuchukui hatua zozote kukabiliana na uchochezi.

Pakiwa na mgawanyo sawia wa haki na uhuru bila kujali rangi, jinsia , kabila dini uchochezi utakuwa rahisi kupiga vita lakini kinyume chake tutaishia kulalamika, mf tazama watoto wa kipalestina wanavyojpa ujasiri wa kujilipua just kwa sababu mtoto amekata tamaa ya kuishi baada ya kuona , baba, mama, dada, kaka na ndugu wengine wamekanyagwa na vifaru, ama kupigwa bunduki huku akiona.

Hapa kwetu tukubali tukatae kuna madaraja ya raia, wapo wanaitwa waswahili,wachovu, wasio na elimu hao, na majina mengi yanayofanana nayo, magaidi.
 
Wewe jmali mbona hueleweki. unashutumu vyombo vya ulinzi vya Tz au waislamu wa Tz? Maana umeshindwa tu kuwa muwazi moja kwa moja. Kweli kuna masheikh hapa Tz wanahubiri ugaidi! au una lako jambo??? umeshindwa kuchangia mada iliyopo matokeo yake unaanzisha mambo mengine. Hamia kenya basi maana yaonesha Tz panakukera sana. Hovyoooooooooooooooooooooooo!

ponda:"wasio waislamu wote ni makafiri na lazima wauwawe..."

mahubiri ya ilunga hujayasikia wewe? hivyo ndio vyanzo vya ugaidi.
 
2013-09-21t193754z_2_cbre98k167y00_rtroptp_4_kenya-attack.jpg


Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.

Wewe na kikwete wako mjue kuwa kama kuna nchi ambayo hata mtoto wa miaka mitano anaweza kuiingia bila shida ni Tanzania ya leo. Mmetuuza kuliko maelezo kwa tamaa ya pesa na kutanua. Natamani ningekuwa na ......!
 
Maskini afande Otieno alifikiri ni wakora wa kawaida.
2013-09-21T160149Z_862707379_GM1E99L1UMZ01_RTRMADP_3_KENYA-ATTACK_0.JPG
 
Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.

Mjibu na kuhusu wazee wanaolinda Samora, udhaifu wa kuzuia matukio ya tindikali, kung'oana kucha kunakotekelezwa na erikali ya CCM n.k
 
Back
Top Bottom