Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,579
- 13,114
Tutachezewa sana akili na hii kitu. Selikali ya Kenya ndio yenye kuujua ukweli,Raisi amehutubia taifa la kenya mara ya kwanza ni lazima atahutubia tena taifa kutoa matokeo ya kiuchunguzi hapo ndipo tutajua mbivu na mbichi. Matokeo ya suala hili hayawezi toka kama matokeo ya uchaguzi. Tutulie tutajua ukweli kutoka kwa selikali,Raisi wa Kenya hawezi idanganya dunia.