Shocking: Al-Shabaab

Shocking: Al-Shabaab

Serikali ya Kenya haijacma ukwel juu ya Kuwauwa Wanamgambo wa Al Shabab...nimetizama video ya muhanga mmoja wa Tukio hilo la west gate mwenye asili ya Kihindi akielezea jins Muasi akichqnge nguo mbele yake na akitoka pamoja naoo..na akiwaambia askar ni huyu ni huyu na askar wakapuuzaa...na si msomali ni raia wa Kenya nina uhakika hakuna Muasi aliyekufa maana ht miili yao hatujaionaaaa zaid ya maneno ya Kisiasaa tuu
 
mimi mwenyewe ninashangaa, wanasema tumeua sita lkn kilichouawa hakionekani, pia mara kwanza walisema walimuua yule dada samatha lkn chaajabu sasa hivi watangaza tena kumsaka kwa hudi na uvumba popote aliko,.
my take wapunguze siasa


westgate-lady-escaped.jpg
 
2013-09-21t193754z_2_cbre98k167y00_rtroptp_4_kenya-attack.jpg


Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.
 
jamani hakuna kitu kibaya kama uongo katika dunia hii, unasema uongo ili kujitukuza kwa watu , lakini ukweli husimama peke yake na utakuumbua!
 
Yule Ole Lenku.......aandae majibu ya kuwajibu Wakenya........
 
yn bilimsikiliza yule Muhindiii na ubaya zaid jeshi la kenya lilikuwa linatizama wasomali tuuuuu hawajui km mtandao wa Al Shabab Ni mkubwa kn wazungu,wakenya hao hao wamo,waarabu ndio ucsemee......yn wamechemkaaa kwa kwel Serikali kwa hiliiii
 
2013-09-21t193754z_2_cbre98k167y00_rtroptp_4_kenya-attack.jpg


Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.

Hivi hao jamaa ni KK Security au ndiyo Police kamili wa Kenya?? Kilichoshangaza zaidi ni vile vifaru walivyopeleka pale utadhani wanakwenda vitani ambako wangepiga kwa masafa marefu kwa kujiandaa ilitosha kuwa na hata kifaru kimoja, wao wameenda na vifaru karibu kumi halafu wote wakabaki ndani ya vifaru wakiogopa risasi.
 
mimi mwenyewe ninashangaa, wanasema tumeua sita lkn kilichouawa hakionekani, pia mara kwanza walisema walimuua yule dada samatha lkn chaajabu sasa hivi watangaza tena kumsaka kwa hudi na uvumba popote aliko,.
my take wapunguze siasa


westgate-lady-escaped.jpg

mwenye hii picha alijitokeza hadharani wala sio samatha watu walimfananisha tu.
 
Hata mimi imenishangaza mtu waliyesema wamemuua na kwenye maiti yake wakaiona pasiport ya africa kusini sasa mara wanatangaza anatafutwa sasa tueleweje????? hapa kuna ubabaishaji unaendelea.
 
Mwisho wa ubaya ni aibu. Kenyata ana mengi ya kuwajibu Wakenya
 
2013-09-21t193754z_2_cbre98k167y00_rtroptp_4_kenya-attack.jpg


Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.

1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!
 
2013-09-21t193754z_2_cbre98k167y00_rtroptp_4_kenya-attack.jpg


Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.
sio siri kila napofungua uzi juu ya ishu ya alshabab lazima nicheke,,,,,ingawa kuna hoja kwa kila wazo
 
1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!

watu kama wewe ni kunyonga tu
 
1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi,wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!
nifafanulie,je hawa ndio walomuua mwangosi?,ndo walomuumiza Kibanda na Dr Uli?,ndio walotupa Bom Arusha???,maana vitendo vyote hivi ni vya kigaidi kwa mtazamo wako
 
1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!
Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.
 
Watz usione nyie mngefanya vzr! kosa kubwa walipoagiza polisi watoke pale kabla jeshi hawajapangwa! kudharau taarifa za awali jambo ambalo sisi tusifanye
 
2013-09-21t193754z_2_cbre98k167y00_rtroptp_4_kenya-attack.jpg


Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.
Kwa mapozi hayo, hata mtu ambaye si askari anaweza kuona kuwa hawa jamaa baado sana! Kama huyu wa mkono wa kulia ndo basi kabisa.
 
Badala ya kuwabeza wakenya, tuanze kuwa firm katika masuala ya ulinzi. Tuanzie ngazi ya nyumba kumi kumi kuwatambua wageni wasio wa kawaida vinginevyo sio mbali na sisi tutachekwa
 
Tatizo polisi na wanajeshi wa Kenya wanapenda sana rushwa...! Hawana tofauti na Polisi wa Tanzania kwa RUSHWA...!
 
Back
Top Bottom